Mkuu umenichekesha sana. Wasukuma kwani tukoje ndugu yangu? Mimi ni Msukuma kabisa orijino kwa baba na mama na nipo hapa Misungwi nalima nyanya na dengu. Siku ukizungukia mitaa hii nitafute nikuchinjie mbuzi.
Ni mambo haya ya ushamba tunayotaniwa mitandaoni humu ndo yamekufanya useme hivyo?...