Ndiyo maana hata wazungu walipofika Afrika waliita karibu kila kitu katika utamaduni wetu kuwa ni cha kijinga...
Si tamaduni zote zinaendekeza ngono kama mtu mweusi kamanda. Japan huko na hata baadhi ya nchi za Scandinavia ni kawaida kila couple kuwa na chumba chake au kitanda chake. Wana mambo mengine ya kuwaza/kufanya badala ya kugegedana tu