Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kulikuwa na shida gani kwenye hoteli ya kwanza? Msosi ulikuwa kidogo ama?
 
Nilidhani nimemaliza kila kitu kwenye Kiswahili... ni mpaka nilipokuta kuwa jiko la mkaa linaitwa seredani ndipo nilipogundua kumbe sina nijualo

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Maneno ya mkopo hayo kutoka katika Kiarabu. Wenzetu huko wana uarabu arabu ujue hivyo haishangazi. Na lingua franca karibu zote zina tatizo hilo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…