Hii mimi imeshanitokea japo hakutokea mtu aliyeniona (au tuliyekuwa wote) kwenye mgahawa wa mwanzo lakini hakiyamungu nakuhakikishia huli kwa amani tena katika kujishtukia shtukia hata unaweza kuropoka
Sent from my SM-G532F using
JamiiForums mobile app