Vituko mitandaoni. Tupia chako

.....
 
Sijambo naona usha anza kunifundisha kisukuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo. Polepole tu mpaka mwaka huu ukaishe utakuwa ushakifahamu kabisa. Ila nyie maandaeitini lugha hizi za Kiafrika mnaziona za kishamba hazina thamani. Si ajabu hapo hata lugha ya kikwenu huifahamu. Kazaneni na maKingereza, Kifaransa na Kichina yenu huko [emoji51]
 
Wee me napenda kilugha sana na pia najua na baadhi ya lugha za makabila jilani kama 3 kifaransa kinanichanganya akili nakipenda ila kilikatishaga tamaa form two na pia naenjoy kujua lugha mbali mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…