Hv wanawake wa hv wapo kweli mzee?? Yaan mwanamke ambaye sura nzuri, anapika vzuri, ana heshma,,ktandani yupo vzur. Mana ukikuta anajua kupika basi sura ya babake,,,ukute ana sura na umbo zuri bas hajui kupika,,, yaani tafran knoma mzee
Hv wanawake wa hv wapo kweli mzee?? Yaan mwanamke ambaye sura nzuri, anapika vzuri, ana heshma,,ktandani yupo vzur. Mana ukikuta anajua kupika basi sura ya babake,,,ukute ana sura na umbo zuri bas hajui kupika,,, yaani tafran knoma mzee
Pemba wapo kibao na Tanga,tatizo hawataki kuolewa na mkristo tu. Hapo ndo wananikata maini. Nilimpata mmoja nikamdanganya jina,nilikua naenjoy mno,siku aligundua ndiyo siku ya mwisho kumsikia na kumuona.
Yaani alikua fiti kila idara aisee. Kasoro yake kubwa ilikua kudeka tu,ujue ile mideko mpaka inakera,ndo ilikua shida yake tu.