Mimi kumsomesha mtoto wa mtu hata kozi ya wiki,haitokaa itokee.
Mimi kumfundisha mtoto wa mtu kupika,haitokaa itokee.
Bora nijifunze mie,na kwa nini mwanamke asijue kupika!?
Ntakula huko kwa wapemba mpaka kieleweke.
Sent using
Jamii Forums mobile app