Babu shikamoo
Vumbi,harufu ya mafuta makali,baridi la asubuhi likinipiga tu shida,
Mazingira,hali ya hewa ya huku nilipo si rafiki kwangu,inanitesa
Ukimwi sina
Kila nikiamka napata mchanganyiko wa limao,tangawizi,mdalasini na karafuu nakunywa
,
Nahitaji dawa