Baada jeshi kuchukua mamlaka ya kuongoza nchi ya Guinea Conakry, wanajeshi wa nchi hiyo kila wakionekana mitaani wanashangiliwa na warembo wanawamwagia mabusu.
21st December; na usinitumie zawadi sasa na kunipost mnyaki
.
Huku kwema kabisa, tunamshukuru Mungu. Maparachichi huwa yapo tu; japo msimu wake yanafurika zaidi. Hapa kwangu nina miti kadhaa, utakula na ugali hadi usahau samaki
21st December; na usinitumie zawadi sasa na kunipost mnyaki
.
Huku kwema kabisa, tunamshukuru Mungu. Maparachichi huwa yapo tu; hapo msimu wake yanagurika zaidi. Hapa kwangu nina miti kadhaa, utakula na ugali hadi usahau samaki
Mambo ndo hayo sasa Mtumishi. Tegemea kapu la maparachichi na mazagazaga mengine kibao. Halafu yangu ni December 12. Kama vipi tufanye sherehe moja tu mtumishi mwema. Unasemaje?
Tunakopeshwa mabilioni na mabilioni. Huku tozo kila kona. Kusema kweli safari hii tushindwe kuendelea wenyewe tu. Mama endelea kuupiga mwingi hivyo hivyo. Utatuvusha!