Kituko cha mtandaoni huko Guinea. Wanajeshi wamefanya yao. Alpha Condé - kiongozi wa upinzani aliyeingia kwa mbwembwe akijigamba kuleta mabadiliko. Badala yake ikawa ni utopolo tu akaishia kujiongezea mihula ya uongozi kwa kukiuka katiba...
Viongozi wa Afrika kwa kupenda madaraka dah!
View attachment 1925324
Vijana wamemuweka mtu mzima kati
View attachment 1925325
Huyu Colonel ndiyo katwaa madaraka...
View attachment 1925327View attachment 1925326