Qwy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2018 Posts 6,236 Reaction score 31,197 Sep 5, 2021 #68,941 Kizibo said: Mtateseka sana mwaka huu..Yanga mtateseka mno Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app Click to expand... Ndiyo maana nimekwambia hearsay, hii haihusiani na utani wa jadi.
Kizibo said: Mtateseka sana mwaka huu..Yanga mtateseka mno Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app Click to expand... Ndiyo maana nimekwambia hearsay, hii haihusiani na utani wa jadi.
Taavid JF-Expert Member Joined Feb 7, 2018 Posts 8,320 Reaction score 71,084 Sep 5, 2021 #68,942 Kizibo said: Vutana vutana wakati wanagombania jezi Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app Click to expand... Yawezekana, lakini sio tu ufue mpaka ichanike hivyo
Kizibo said: Vutana vutana wakati wanagombania jezi Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app Click to expand... Yawezekana, lakini sio tu ufue mpaka ichanike hivyo
Taavid JF-Expert Member Joined Feb 7, 2018 Posts 8,320 Reaction score 71,084 Sep 5, 2021 #68,943 moudgulf said: View attachment 1925190 Click to expand... dah kwamba ana UTI sugu
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Sep 5, 2021 #68,944 Kituko cha mtandaoni huko Guinea. Wanajeshi wamefanya yao. Alpha Condé - kiongozi wa upinzani aliyeingia kwa mbwembwe akijigamba kuleta mabadiliko. Badala yake ikawa ni utopolo tu akaishia kujiongezea mihula ya uongozi kwa kukiuka katiba... Viongozi wa Afrika kwa kupenda madaraka dah! Vijana wamemuweka mtu mzima kati Huyu Colonel ndiyo katwaa madaraka...
Kituko cha mtandaoni huko Guinea. Wanajeshi wamefanya yao. Alpha Condé - kiongozi wa upinzani aliyeingia kwa mbwembwe akijigamba kuleta mabadiliko. Badala yake ikawa ni utopolo tu akaishia kujiongezea mihula ya uongozi kwa kukiuka katiba... Viongozi wa Afrika kwa kupenda madaraka dah! Vijana wamemuweka mtu mzima kati Huyu Colonel ndiyo katwaa madaraka...
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,085 Sep 5, 2021 Thread starter #68,945 Shadow7 said: Mwanzilishi wa uzi amefanyaje tena?? 🙄 🙄 🙄 View attachment 1922481 Click to expand... Amekosa! Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Shadow7 said: Mwanzilishi wa uzi amefanyaje tena?? 🙄 🙄 🙄 View attachment 1922481 Click to expand... Amekosa! Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,085 Sep 5, 2021 Thread starter #68,946 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,085 Sep 5, 2021 Thread starter #68,947 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,085 Sep 5, 2021 Thread starter #68,948 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,085 Sep 5, 2021 Thread starter #68,949 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,085 Sep 5, 2021 Thread starter #68,950 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Sep 5, 2021 #68,951
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Sep 5, 2021 #68,952 Mshana Jr said: Amekosa! Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app Click to expand... Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari
Mshana Jr said: Amekosa! Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app Click to expand... Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Sep 5, 2021 #68,953 Mshana Jr said: View attachment 1925329 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app Click to expand... Lijengwe sanamu la mama kila kata hapa nchini. Hii ni amri
Mshana Jr said: View attachment 1925329 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app Click to expand... Lijengwe sanamu la mama kila kata hapa nchini. Hii ni amri
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Sep 5, 2021 #68,954
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Sep 5, 2021 #68,955
Qwy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2018 Posts 6,236 Reaction score 31,197 Sep 5, 2021 #68,956 SHIMBA YA BUYENZE said: Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari Click to expand... Wazo mujarabu kabisa, wapigwe kipapai. Kuwaweka JF lockup two great personalities kwenye janvi hili ni jambo lisilofurahisha kabisa.
SHIMBA YA BUYENZE said: Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari Click to expand... Wazo mujarabu kabisa, wapigwe kipapai. Kuwaweka JF lockup two great personalities kwenye janvi hili ni jambo lisilofurahisha kabisa.
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Sep 5, 2021 #68,957 Kwa kweli inabidi tuwe waangalifu sana wasituvue boksa hovyo hovyo!
Qwy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2018 Posts 6,236 Reaction score 31,197 Sep 5, 2021 #68,958 Mshana Jr said: View attachment 1925328 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app Click to expand...
Mshana Jr said: View attachment 1925328 Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app Click to expand...
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Sep 5, 2021 #68,959 Qwy said: Wazo mujarabu kabisa, wapigwe kipapai. Kuwaweka JF lockup two great personalities kwenye janvi hili ni jambo lisilofurahisha kabisa. Click to expand... . Jiangalie mkuu. Yule mods wa juzi akipita mitaa hii utakuja kushangaa unaliwa kichwa (in Depal's voice)
Qwy said: Wazo mujarabu kabisa, wapigwe kipapai. Kuwaweka JF lockup two great personalities kwenye janvi hili ni jambo lisilofurahisha kabisa. Click to expand... . Jiangalie mkuu. Yule mods wa juzi akipita mitaa hii utakuja kushangaa unaliwa kichwa (in Depal's voice)
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,085 Sep 5, 2021 Thread starter #68,960 SHIMBA YA BUYENZE said: Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari Click to expand... Yaliyopita si ndwele kaka.. Tusonnge mbele... Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
SHIMBA YA BUYENZE said: Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari Click to expand... Yaliyopita si ndwele kaka.. Tusonnge mbele... Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app