Vituko mitandaoni. Tupia chako

We acha tu...sipati picha familia yake, bothers ndo walikuwa washkaj zangu.Familia ya wafia dini ya kiislam haswa..Yani 100%
 
Na huku kuna Gwajima anatoa dozi kila Jumapili. Huku Madilu anataka kuanzisha tozo kwenye mitandao. Huku popoma mwingine analazimisha eti Masihi alikuwa na mke...Yaani Bongo hakuna kupumua ni kampa kampa unaambiwa...
nahisi ndio maana taifa letu linakwama maana vitimbwi haviishi, sio kwa viongozi wala wananchi wa kawaida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…