Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ina maana Hamza alikuwa amedhulumiwa na mapolisi; na alikuwa anataka kulipiza kisasi? Pengine ndo maana hakutaka kuua raia....Sad !!!
View attachment 1908821
Ngoja tusubiri majibu wa wapelelezi,utafurahi na roho yako.
Naamini hakuna mpuuzi anaweza kuamua tu bila sababu ya msingi kufanya tukio kama la jana.
Na kama angekuwa na nia mbaya angeanza na wale wa kwenye magari.
"Haki aiombwi,ni wajibu kuipata/kuipigania".
 
Wazungu wanafanya kila kitu aiseee
 
Tumefukuzwa kuleee, umeona uje ulianzishe hapa, ama tubadlishe huu uzi pia? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…