Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kukimbizana na mtu ambaye hajawaibia wao, wivu umewapeleka kuzimu.
Matozo yote Tz wanaofanya magendo ni mbinu mojawapo ya kupunguza tozo, kwanza pesa zenyewe serikali inazitumia kwa luxuries ya viongozi wa juu.
Na hapo ukute kilichokuwa kinawapeleka mbio wala siyo ile kodi ya serikali.
Yaweza kuwa rushwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…