Vituko mitandaoni. Tupia chako

Makuhani wa dini za kienyeji wana wivu kukosa waumini kwenye mahekalu yao.

Waambieni hawa walete maandiko tusome, tuzielewe dini hizo ili tufanye maamuzi.
Tunaenda Saud Arabia, Israel, Iraq nk kwakuwa wenzenu wametushawishi kwa vitabu vyao.
Sisi tulichelewa kuandika vitabu vyetu. Tungeandika vitabu vya "manabii" wetu akina Ng'wanamalūndī na Sundiata tukajaza na mubalaagha wa kutosha visa na miujiza yao bila shaka leo tungekuwa na dini imara na patakatifu petu. Tulichelewa!!!
 
Sisi tulichelewa kuandika vitabu vyetu. Tungeandika vitabu vya "manabii" wetu akina Ng'wanamalūndī na Sundiata tukajaza na mubalaagha wa kutosha visa na miujiza yao bila shaka leo tungekuwa na dini imara na patakatifu petu. Tulichelewa!!!
Hamjachelewa, bado watu nguli kama nyinyi mngalipo.
Kaeni muandike kuhusu hiyo Miungu ya kale, visa vyake nk.
Watu watasoma na kufanya maamuzi.
Kuliko malalamiko haya ya mara kwa mara.
Kulalamika lalamika ni dalili ya kushindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…