Kuna......nilikuwa simuombi vocha yaani kazi yangu kusema tu mwezi unaisha bando
,ananiunga
Sasa kuna siku akaniambia leo sina pesa na ninashida mawardat,naomba unisaidie kiasi fulani,nikashangaa maana mtu mzito
Nilimtumia....akanambia kwakweli sina shida,nilikuwa nakupima tu,huu ni mtihani nilitaka kujua upoje
akanambia nitakurudishia pesa yako,nikamwambia hapana baki nayo,
Sasa we muombe kiasi unajua anauwezo nacho,ata vocha atakupa au la??