Vituko mitandaoni. Tupia chako

mawardat Babu yako ana roho mbaya kama shati la mpishi wa sumu!
 
Ngoja tumwite hapa aje na jibu!
mawardat
Kati ya Emiir Bey na Taavid chagua mmoja!
Kama ni Emiir Bey weka like na kama ni Taavid comment
Leo ndiyo nitajua kama nina mjukuu anayenisikiliza ama la! Akikimbilia kwenye chumvi na kuacha pdf (elimu) nitashangaa sana. Na inawezekana nitamsusa kabisa na kumtenga mimi na ukoo wote. Ujukuu na ubabu waweza koma leo hii hii dadeki


Mjukuu njoo ukate mzizi wa fitina huku nijue moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…