Vituko mitandaoni. Tupia chako

Aaaah waapi!!!! Wataka nianze ongelea nguru....
Binaadamu kitendo cha kufanya mapenzi ni kitendo adhimu ambacho hutumika kwa faida mbili na pia kitendo cha kusisimuana katika kufanya mapenzi wala hakujakatazwa, waweza msisimua mpenzi wako kwa kadri uwezavyo ilimradi usimwendee kinyume na pia usifanye vitendo hatarishi kwa afya yako, hivyo kuzama chumvini wala hakujakatazwa, isipokuwa uangalie na chumvini unakozama nako kuwe kusafi tu. Ili kujiepusha na kupata fangasi za koo au kula fangasi ambazo zitakuletea madhara tumboni.
Tofauti ya binadamu na wanyama kwenye ngono ni moja tu! Wanyama hufanya ngono kwa ajili ya uzazi lakini binaadamu kwa faida mbili.
1. Kwa ajili ya uzazi
2. Kwa ajili ya starehe
 
Ooooh kumbe,nimekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…