Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,978 Reaction score 137,003 Aug 16, 2021 #64,641 Born1703 said: Nilihisi mnadondoshaga machozi Kwny majungu ya chakula Click to expand... Hapana,tunalia then twaenda jikoni
Born1703 said: Nilihisi mnadondoshaga machozi Kwny majungu ya chakula Click to expand... Hapana,tunalia then twaenda jikoni
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 34,434 Reaction score 59,291 Aug 16, 2021 #64,642 Jamaa hajawahi kuongea ila ana followers m kwa sasa tiktok
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 16, 2021 #64,644 SHIMBA YA BUYENZE said: Aaaa wapi! Viongozi wa Afrika huwajui mkuu? Wakiwa wanagombea ahadi kama zote ngoja waingie jikoni sasa uwiii Click to expand... Viongozi wa kiafrika lao moja Ndiyo maana sitokuja mtukana mtu kwa sababu ya siasa hizi za kiafrika. Mkweli, muaminifu kwenye siasa zetu ni yule aliye nje ya mfumo wa dola, akishaingia humu utashangaa sana
SHIMBA YA BUYENZE said: Aaaa wapi! Viongozi wa Afrika huwajui mkuu? Wakiwa wanagombea ahadi kama zote ngoja waingie jikoni sasa uwiii Click to expand... Viongozi wa kiafrika lao moja Ndiyo maana sitokuja mtukana mtu kwa sababu ya siasa hizi za kiafrika. Mkweli, muaminifu kwenye siasa zetu ni yule aliye nje ya mfumo wa dola, akishaingia humu utashangaa sana
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 16, 2021 #64,645 Heaven Sent said: Ama kweli msukuma akierevuka, mnyaki yu matatani. Fanya tu kunitumia bana Mtumishi Click to expand... SHIMBA YA BUYENZE said: Njoo PM mtumishi upate zawadi yako japo hujathibitisha cho chote! Click to expand... Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa Msukuma jiangalie Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa, Ohooo
Heaven Sent said: Ama kweli msukuma akierevuka, mnyaki yu matatani. Fanya tu kunitumia bana Mtumishi Click to expand... SHIMBA YA BUYENZE said: Njoo PM mtumishi upate zawadi yako japo hujathibitisha cho chote! Click to expand... Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa Msukuma jiangalie Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa, Ohooo
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 16, 2021 #64,646 CAGvsSPEAKER said: Kasimu kana kata chaji Wakuu. Niwaage,tutaonana kesho. Mungu awalinde na muwe na usiku mwema. Click to expand...
CAGvsSPEAKER said: Kasimu kana kata chaji Wakuu. Niwaage,tutaonana kesho. Mungu awalinde na muwe na usiku mwema. Click to expand...
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 16, 2021 #64,647 Hatimaye bana Congo atua...
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 16, 2021 #64,648 SHIMBA YA BUYENZE said: View attachment 1894895 Click to expand... Oyoooooo Wenye makonwe oyeee
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 16, 2021 #64,649 SHIMBA YA BUYENZE said: Tunazungumzia mlo gani hapa? View attachment 1894910 Click to expand... Mlo ambao umehonga sana , aka Rushwa, ambayo pia umetuma na ile ya kutolea
SHIMBA YA BUYENZE said: Tunazungumzia mlo gani hapa? View attachment 1894910 Click to expand... Mlo ambao umehonga sana , aka Rushwa, ambayo pia umetuma na ile ya kutolea
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,092 Aug 16, 2021 #64,650
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 16, 2021 #64,651 SHIMBA YA BUYENZE said: Sasa sijui amekuja kufanya nini. Kusikiliza nyimbo za Diamond kwenye sabufa? View attachment 1894913 Click to expand... Aje getho halafu andoke bure bure aaah wapi
SHIMBA YA BUYENZE said: Sasa sijui amekuja kufanya nini. Kusikiliza nyimbo za Diamond kwenye sabufa? View attachment 1894913 Click to expand... Aje getho halafu andoke bure bure aaah wapi
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,404 Aug 16, 2021 #64,652 Mdigo wa pande said: Tatzo wapenda yale makubwa,tafuta vya kawaida mpigishe butt workout afanye asubuh na jion kama hutaenjoy Click to expand... Mkuu naomba sana tusipangiane...na kila mtu ashinde mechi zake pulizi
Mdigo wa pande said: Tatzo wapenda yale makubwa,tafuta vya kawaida mpigishe butt workout afanye asubuh na jion kama hutaenjoy Click to expand... Mkuu naomba sana tusipangiane...na kila mtu ashinde mechi zake pulizi
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 16, 2021 #64,653 Qwy said: . View attachment 1894921 Click to expand... Aisee, Kiburi kama hiki ndiyo kinachomfanya Jacob Zuma leo anyee debe. Naamini ndugu Musiba hatonyea debe ila cha moto atakiona
Qwy said: . View attachment 1894921 Click to expand... Aisee, Kiburi kama hiki ndiyo kinachomfanya Jacob Zuma leo anyee debe. Naamini ndugu Musiba hatonyea debe ila cha moto atakiona
dem boyz JF-Expert Member Joined Nov 4, 2016 Posts 7,340 Reaction score 16,909 Aug 16, 2021 #64,654 black sniper said: Jamaa hajawahi kuongea ila ana followers m kwa sasa tiktok View attachment 1894945 Click to expand... Mda si mrefu atapewa madili Hollywood huyu... kweli Dunia inazunguka aise...
black sniper said: Jamaa hajawahi kuongea ila ana followers m kwa sasa tiktok View attachment 1894945 Click to expand... Mda si mrefu atapewa madili Hollywood huyu... kweli Dunia inazunguka aise...
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,375 Aug 16, 2021 #64,655 Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba. moudgulf said: Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa Msukuma jiangalie Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa, Ohooo Click to expand...
Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba. moudgulf said: Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa Msukuma jiangalie Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa, Ohooo Click to expand...
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,404 Aug 17, 2021 #64,656 moudgulf said: Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa Msukuma jiangalie Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa, Ohooo Click to expand... Heaven Sent said: Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba. Click to expand... Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno
moudgulf said: Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa Msukuma jiangalie Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa, Ohooo Click to expand... Heaven Sent said: Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba. Click to expand... Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,404 Aug 17, 2021 #64,657
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,404 Aug 17, 2021 #64,658
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 17, 2021 #64,659
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,170 Reaction score 770,287 Aug 17, 2021 #64,660