Vituko mitandaoni. Tupia chako

Aaaa wapi!

Viongozi wa Afrika huwajui mkuu? Wakiwa wanagombea ahadi kama zote ngoja waingie jikoni sasa uwiii
Viongozi wa kiafrika lao moja

Ndiyo maana sitokuja mtukana mtu kwa sababu ya siasa hizi za kiafrika.

Mkweli, muaminifu kwenye siasa zetu ni yule aliye nje ya mfumo wa dola, akishaingia humu utashangaa sana
 
Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba.
Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…