Jukwaa la siasa lina changamoto zake. Hata mimi nilishalikimbia kwa sababu watu wako too emotional. Matusi nje nje. Linatokea boya huko linakuporomoshea matusi wewe ukijibu tu unatandikwa ban...Pole sana mkuu na karibu tena. Tubanane hapa hapa tu kwenye vicheko na furaha...