Vituko mitandaoni. Tupia chako


Kweli mkuu ilikuwa Right time na pia walilenga palepale
Na kuna wengi wamefeli
Biashara ni bahati tu sio ujanja
Ikikubali imekubali
 
Duuuh!! Nimecheka wallah
Vijijini huko enzi zile tunasoma unaamka asubuhi unakuta eti sisimizi kibao wamejichanganya wameingia kwenye maziwa ya mgando. Unaona wanakupotezea muda bure. Unawavurugiamo kwenye maziwa halafu unawanywa humo humo. Siku nzima unacheua vitamin tu yaani afya kede kede. Mamende siyapendi hasa yale makubwa ila hawawezi kunifanya nikatupa chakula changu - hasa kama ni ugali na nyama. Nevaaa !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…