Yaani nikifa leo wataona aibu maana daftari la madeni lipo chini ya meza ya sebureni. Mliomo humu mnilipe kutoa wanangu ambao wenyewe wakijua wanadaiwa wananitumia mess.
Kumbuka humu wengi tunatumia pseudo names lakini tunawasiliana.
JF imenipa watoto wakuniimbia Pambio kama la mwendazake nikijiondokea. Imenipa wadogo watakao koka moto ili wachawi wasiniibe. I love. Jf
Wazee enzi yenu hiyo ilikuwa kawaida, kuna mzee mmoja alikuwa ananiambia vijana sikuhizi tunajiona tunakula good time lakini sio kweli, enzi yake akiwa kijana miaka hiyo ya 70 kama sijakosea walikuwa wanaenda kung'oa warembo mitaa ya msimbazi, wanajichapia nyama kwa nyama na vitu bado viko piruu
hakuna magonjwa ya hovyo unapata.
Lakini sikuhizi balaa tupu kwanza unakutana na vitu vishatembea mileage 100k hiyo bikra unaikutia wapi, na ukicheza kizembe kila siku unajikuta unapambana na stDs tu.