Nchi yangu TANZANIA.
Hivi inawezekana kabisa hawa Jamaa kutufanya sisi wote wajinga?!
Hili gazeti ni mali ya nani,kabla ya kuchapa huwa hawahariri habari zao?!
Wazee wa kutengeneza tatizo na kulitatua,kuna jambo linafichwa hapa.
Drama tuwaachie wasanii, please