Vituko mitandaoni. Tupia chako

Bora umeustukia mchezo, mimi nilistuka tokea picha linaanza.
It's a scripted shit, ni kwamba wanaujilisha umma yajayo kwa namna ya 'tisa'.
 
Dah inauma hii
ngoja nilale tu sasa
Jamani soulimeti. Na ulimbwende wote huo; ni mwanaume gani ana ubavu wa kukufanyia ukatili hivi? Mpaka leo nakuna kichwa ule uzi wako masikini eti umeachwa wakati baharia ulikuwa unampenda hatari. Mabaharia wengine wana roho gani jamani? Kabinti kapole keupe kalimbwende kachangamfu kasomi kenye msambwanda kama wewe unakaacha kwa sababu gani jamani? Yaani sielewi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…