Shida yetu ni hawa tunaowapa madaraka. Na mifumo yetu mibovu ya elimu. Sasa tumegeukia kwa Wachina. Tunafanyiwa yale yale tuliyofanyiwa na wazungu. Na zaidi...wala hatujufunzi. Miaka nenda miaka rudi. Inaudhi bro!
Ajabu sasa. Hata hawa tunaowapa madaraka tukibahatisha mmoja ambaye ni mzalendo akaanza kupambania raslimali zetu, tunaungana na wabaya wetu kumpiga vita na hata kumuua...No hope for us !!!