Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nawasubiri hao umbu..🀣
 
Wachina wametisha sana
 
Chakorii ni mnyakyusa tangu lini??
Sio Chakorii peke yake kwenye hilo kundi la marafiki niliowataja ambaye sio Mnyakyusa hata akina Nuzulati na wengine pia ambao sijawataja.

Lengo ilikuwa kuchagiza tu safari yao ya kwenda kuwaona watani zetu Wasukuma na kujifunza mawili, matatu kuwahusu.

Let's have funny here boss 🍾πŸ₯‚
 
Wasukuma wenyewe wanasemaje kwanza mpendwa
 
Kweli kabisa nataka kwenda usukumani wallahi 😁😁
 
Wala hujakosea G.mume wa kisukuma ajitokeze hapa mara moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…