Vituko mitandaoni. Tupia chako

Yaani hata akikukuta laivu unaipelekea moto hata kama alikuwa na mpango wa kuanzisha varangati anatulia tu na kukuacha umalize mishe zako huku akishangaa jinsi pisi ilivyo moto
Kweli kabisa...wala huna shida ya kuomba msamaha yeye mwenyewe ndio ataanza sema jamani basi muoe tuu kama mke wa pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…