Ushujaa wa mtu hupimwa kwa jinsi anavyopambana na mifumo ambayo hakubaliani nayo. Kwa wenzetu huko serikali uliyomo ikianza kukengeuka na wewe hupendi kushiriki ukengeufu huo basi unaweka msimamo wako wazi na kujiuzulu mara moja.
Hawa wa kwetu hapana. Wanaunga mkono kila kitu halafu mambo yakibadilika nao wanabadilika ghafla na kutaka waonekane mashujaa. Waongo, wanafiki na wachumia tumbo tu!
Yaani unakuta mtu mkewe yaani pisi kali hatari lakini huku nje sasa baharia anakanyaga michepuko ambayo hata robo haimfikii mkewe. Mpaka unashangaa yaani
Yaani unakuta mtu mkewe yaani pisi kali hatari lakini huku nje sasa baharia anakanyaga michepuko ambayo hata robo haimfikii mkewe. Mpaka unashangaa yaani