Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nachosema mie ni kwamba two wrongs dnt make a right. Kweli mtu kumtongoza mke wa mtu ni kosa lakini pia mke kukubali kusasambuliwa mbususu nalo kosa.

Sasa mie sioni manyiki ya kumla tigo jamaa alafu mke unarudi nae nyumbani unless nae unaenda kumla tigo🤣🤣🤣🤣
 
Kuchapiwa ni mtihani. Wanaume tunapenda kuchepuka lakini tukichapiwa dah! Yataka moyo sana kuendelea na huyo mke....

Huyo jamaa aliyeongelewa hapo juu nadhani alikuwa mhanga tu wa mob psychology ya hao Waswahili. Na kama alishaonywa na wananzengo akawapuuzia basi anastahili alichokipata. Ila mume naye ni boya tu. Kwa nini mkeo aliwe tena waziwazi mpaka wananzengo waingilie kati? Kuna mke kweli hapo? Ndiyo maana hata Biblia imeruhusu talaka kwenye hili suala la uzinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…