Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sasa kwani hiyo niliyoandika hapo ni Kireno au Ki Hispania?
We soma na uitafsiri kwa lugha zetu mbili Kisw na Kiingereza. Basi sema na mtakatifu kwa Kireno na Hispaniola.
Mimi nilikuwa nafafanua tu kuhusu huyo mchezaji wa Ulaya uliyemtaja kuitwa Jesus (Hesus). Kuna uwezekano mkubwa ana asili ya Uhispania, Ureno au mataifa yanayozungumza lugha hizo. Na uelewa wangu unakomea hapo.
 
Kawaida tu......mbona Lucas Kikoti wa Namungo FC anaitwa MTAKATIFU wa Kusini?
Si hata kuna mchezaji huko ulaya anaitwa Jesus?
Jesus...Ni jina la kawaida kwa watu wanaoongea Kihispania na Kireno na inatamkwa Hesusi na siyo Jizazi.
Gabriel Jesus wa Man City ni rai wa Brazil ambao wanaongea Kireno kama moja ya Lugha rasmi nchini humo.
Mi binafsi majina yake yote mawili yananifikirisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…