Babu mimi sina siri yako hata moja na hata nikiipata nitafunga mdomo
Kuna siku
Shimba ya Buyenze aliandika
'
Huwezi kumpaka mtu matope halafu ukabaki msafi'
Kuna siku nilimcheka mwalimu wa kiume sababu aliloa nyuma ya makalio lile jasho likawa linaonekana kwenye suruali rafiki yangu akaniambia '
Jifunze kuficha siri za wenzako na zako utafichiwa'
Hizo sentensi mbili huwa zinakaa kwenye akili yangu sana.
Nimeanza maelezo bila kukusalimia 'Shikamoo babu'