Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Ile mizigo mkuu umri hauruhusu tena. Nimehamia rasmi huku kwa tuvimbaumbau. Cha muhimu tu kiwe slim thick (if you know what I mean). Hii mitulinga kama ya huku Singida kwenye alizeti labda mara moja moja tu mkuu ila kuweka kambi hapana kwa sasa! ππππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈMkuu unachokihubiri na unachokitenda ni vitu viwili tofauti π
Mbona huyo Mama E hana zile nyama nyama kama ile mizigo Mkuu π π
Umefanya nimzoom mara mbili mbili kujiridhisha, Kwa mbali utasema Bibi yenu Mwaka 47 π€
Hujawahi kufanya hivyo.Nilikutumia essay pm nasubiri majibu
Duh! Mkuu ebu edit hilo neno kama mimi hapoπ ungetumia tafsida ya mtiEboπ
Mbona hata mti hauna mfupa na lisiposimama nyumba inatikisika???π€π€ππ
πMbona unachomoa betri sasaHujawahi kufanya hivyo.
πMbona unachomoa betri sasa
Vaa miwani utaona mkuuHebu kuja. Acha lomoni nyingi.
Nimeshindwa kuelewa. Bakia na lapa zako.Vaa miwani utaona mkuu
Mimi nipo serious nataka nimiliki embe sindano