Nasikia organ black market ni biashara kubwa na ni biashara za wakubwa maana baadhi ya viungo ni ghali sana. Na ukijiandikisha wewe ni organ donor siku ukipata ajali kama hakuna mtu wa kukuangalia vizuri hata kama ilikuwa upone jamaa wanavuna tu viungo ili wapige mamilioni yao ya dola.
Waiting list ni ndefu japo wenye pesa zao wanaweza kupata shortcut. Ndivyo alivyofanya Steve Jobs kipindi kile akapandikizwa ini chap chap japo alikuwa keshachelewa.