Vituko mitandaoni. Tupia chako

Akili za walio wengi wetu zinafanana.
Ni ngono tu.
Lakini wakitoka kugegeda wanalaumu viongozi kudumaza maendeleo.
Maendeleo ya nchi yako yanaanza na wewe.
Maendeleo wapi bwana wewe....kila mwaka we solving the same perennial problems alafu mwasingizia ngono. Kwanza ngono inachukua asilimia ndogo sana ya muda wa mwanadamu...kama mie dakika mbili chali🤣🤣🤣🤣🤣
 
Maandalizi ya ngono yanachukua muda na raslimali nyingine kadhaa.
Hata ukipewa jukumu la kitaifa utalitumia kama fursa ili upige ngono .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…