Vituko mikoani

vichakani unatuaibisha bora kwenye nyumba mbovu
Hii ya nyumba mbovu umenikusha kipindi niko kijijini kuna siku naingia tuu na demu wangu kumbe mle ndani kuna jibwa lilikuwa limelala sasa ndo sisi tukawa kama ndo tumemgadi asitoke asee ule mziki hadi mbwa anatoka na demu kashafika nyumbani kwao maana zile kelele za yule mbwa na demu aligairi pale pale
 
Bora mlitoka salama tu maana ingekuwa ni aibu ya mwaka
 
Tia neno
 

Attachments

  • Screenshot_20180318-220019.png
    126.3 KB · Views: 83
Mikoani gesti chache nani kakudanganya? Njoo Njombe uone. Wewe unazungumzia mikoani au vijijini? Anyway labda mikoani kote ni vijijini maana watu wa Dar kwao mjini ni Dar tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…