Walimzika na CMU yakeJamaa hajui hata kuact, yaani msela alikuwa ndani ya sanduku na simu yake, naweza kusema script yao ya kitoto
renegade
Na hapo si ajabu kukuta wale wafuasi wake bado hawaamini kama ulikuwa usanii. Yaani wanaamini huyo jamaa kafufuliwa kweli na vilivyokuwemo ndani ya hilo jeneza navyo ni muujiza pia.
Jamaa hajui hata kuact, yaani msela alikuwa ndani ya sanduku na simu yake, naweza kusema script yao ya kitoto
renegade
Walimaanisha kumweka kwenye jeneza na simu yake ili wawe na mawasiliano ya kila tukio lililokuwa linaendelea nje.
Huko South Afrika,washangae kwanza wafuasi wa Lusekelo mzee wa bapa ndio uvuke mipaka. Wanatofautiana ukubwa wa matukio tu.Na hapo si ajabu kukuta wale wafuasi wake bado hawaamini kama ulikuwa usanii.
Yaani wanaamini huyo jamaa kafufuliwa kweli na vilivyokuwemo ndani ya hilo jeneza navyo ni muujiza pia.
Hatari sana mkuu.. Ogopa sana nguvu ya mediaNa hapo si ajabu kukuta wale wafuasi wake bado hawaamini kama ulikuwa usanii.
Yaani wanaamini huyo jamaa kafufuliwa kweli na vilivyokuwemo ndani ya hilo jeneza navyo ni muujiza pia.
Aiseee. Ila Imani hiziHuko South Afrika,washangae kwanza wafuasi wa Lusekelo mzee wa bapa ndio uvuke mipaka. Wanatofautiana ukubwa wa matukio tu.
Wanaenda na jinsi wafuasi wanavyopenda.Binadamu wamepitiliza sasa....!