Vituko duniani

hiyo itakua maeneo ya njombe au makambako
Then AC nyingi siku zinatumika siku hizi ni split-type, zamani ilikuwa ukihitaji joto unachange tu kwenye AC umapata joto. Lakini hizi split-type ni kutoa baridi tu, so jamaa akaona bora atumie akili ya kuzaliwa, heater haziingiza ndani ili apate joto. Sipati picha hizo kelele zake
 
Mmasai na changu :
Mmasai. Nani nalipa hela ya sumba ?
Changu : wewe !!
Mmasai nani nalipa wewe ?
Changu : wewe !!
Mmasai : sasa kwa nini wewe nayumbisa yumbisa hiyo kiwino ?
!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…