Tatizo huu mchezo unazeesha ukizoeshaa aiseee otherwise piga ndogo ndogo then mbili za uhakika kila wiki
Hiv unadhani ile fluid ni maji bomba..??
Huuu mchezo utakua ule pendwa wa kukojozanaHahahahahahaaa sio maji ya bomba wala ya mvua.... ila kama uko vizuri unajaza kindoo cha lita 10 looh.
Halafu umeshawona wenyewe wala senene na rubisi? Hawazeeki na kamchezo kanapigwa kama kitendo cha kufumba na kufumbua macho.
Wanakula life... wanapeana rahaa.... wanatafuta hela.... wanajenga mbili yao kurejeshea vilivyopungua wakati wa mchezo na wanabaki wako fit anytime kwa kamchezo....😛😀😛
Ila sio lini ile..... Ukiona maji marefu unayaacha tuu au na wa miguu toka ukiiga kuogelea unazama huku unajiona hehehehehe.
Hahhha tatizo town havipatikani hizo mamboo labda matoke tu halaf yale mpang mzima Ukipika nzuri yakiiiva kwa Me ukiyapiga kama tunda sana,Hahahahahahaaa sio maji ya bomba wala ya mvua.... ila kama uko vizuri unajaza kindoo cha lita 10 looh.
Halafu umeshawona wenyewe wala senene na rubisi? Hawazeeki na kamchezo kanapigwa kama kitendo cha kufumba na kufumbua macho.
Wanakula life... wanapeana rahaa.... wanatafuta hela.... wanajenga mbili yao kurejeshea vilivyopungua wakati wa mchezo na wanabaki wako fit anytime kwa kamchezo....😛😀😛
Ila sio lini ile..... Ukiona maji marefu unayaacha tuu au na wa miguu toka ukiiga kuogelea unazama huku unajiona hehehehehe.
Huuu mchezo utakua ule pendwa wa kukojozana
Hahhha tatizo town havipatikani hizo mamboo labda matoke tu halaf yale mpang mzima Ukipika nzuri yakiiiva kwa Me ukiyapiga kama tunda sana,
Kazi yako ni kusema Mama Jangweno...
Kumbe wewe ni wa BK ndio maana aiseee!!Hahahahahaaa mie hizo za hivo sizipendi bana ila kwa kuwa mapenzi ni ya wawili na lengo ni kufurahishana. ... basi namwambia tuu ukitaka nikupikie rosti ya maini ukanunue ingredients ntakupikia tutakuwa wote. Ila mie binafsi maini siyapendi na hutanikuta hata siku moja naenda buchani kuyanunua. Ila kuyapika aah utajilambaaa.
Weeh nani kakwambia maji huwa yanakauka? Wee utashangaa tuu kondoo cha lita 10 kinajaa na mtu bado yuko fit anaendeleza libeneke.
Ila alitoka hapo inabidi umuwekee matoke yaliyochemshwa pamoja na satos na yakaungwa na karanga..... kisha pembeni kuna nsenene aaah jioni utajaza kondoo cha lita 20 na mtu yuko gado.
Hehehehee angalia usijekimbia wewe 😛😛
Hahahaaa!! Mkuu naona watu wamevamia thread ya watu aiseee!!Naona baadhi ya wanajamii wamebadilisha gia angani......kutoka utamu wa mapics mpaka mambo ya chumbani......
Hahahaaa!! Mkuu naona watu wamevamia thread ya watu aiseee!!
Hahhha tatizo town havipatikani hizo mamboo labda matoke tu halaf yale mpang mzima Ukipika nzuri yakiiiva kwa Me ukiyapiga kama tunda sana,
Kazi yako ni kusema Mama Jangweno...
Huuu mchezo utakua ule pendwa wa kukojozana
Hahahahahahaaa sio maji ya bomba wala ya mvua.... ila kama uko vizuri unajaza kindoo cha lita 10 looh.
Halafu umeshawona wenyewe wala senene na rubisi? Hawazeeki na kamchezo kanapigwa kama kitendo cha kufumba na kufumbua macho.
Wanakula life... wanapeana rahaa.... wanatafuta hela.... wanajenga mbili yao kurejeshea vilivyopungua wakati wa mchezo na wanabaki wako fit anytime kwa kamchezo....😛😀😛
Ila ....... Ukiona maji marefu unayaacha tuu au nawa miguu toka ukiiga kuogelea unazama huku unajiona hehehehehe.
Hahahahahahaa mchezo huu pia hauna ratiba wala formula.... ukikaa mkao tuu basi viungia vyenyewe vitaitana na kusalimiana wakati nyie hamna hata habari hehehehe
Hiv unadhani ile fluid ni maji bomba..??
Tatizo huu mchezo unazeesha ukizoeshaa aiseee otherwise piga ndogo ndogo then mbili za uhakika kila wiki
No risk taking hapo..... mchezo wenyewe hauhitaji hasira.... pia unataka uvumilivu wa hali ya juu.
Hahahahahahaaa weeweee mashambulizi yakizidi naweka kunchutama
Baada ya zoezi wote tunakarabati mwili vinginevyo tunawezapata utapiamlo wa kiutu uzima looh
Hahahahahahahhaaaaaaaa babu mradi tuu hainasii hapo hapo sina shaka. Ukichomoa tuu mwambie anikoshee vizuri mwiko wangu mie jioni nikusongee ugali wa dona kwa dagaa za kuunga na karanga na sukuma wiki kwa pembeni. Kisha nakulisha mwenyewe kwa mkono wangu huku mkono mwingine ukikufuta jasho linalodondoka kichwani maana ugali ni wa moto na mboga za moto... mkono unaokulisha wamoto hivo kwa afya yako jasho kudondoka ni kawaida.
Mii laavuu yuuu babuuuu mwaah
Kumbe wewe ni wa BK ndio maana aiseee!!
Mi nakufuatilia kwa karibu.... shauri zako nikifanya maamuzi magumuHahahaha hahahahhaaaa wabonakee
ama kweli don't zoom
Mi nakufuatilia kwa karibu.... shauri zako nikifanya maamuzi magumu
Basi usiwe unatoa siri zetu kwa watu. Mikware ikija kukubaka utanipeleka Segerea mchana kweupe.Hahahahaa babuuuu mie na weye tenaa