elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
Vyote jumla ni 1mKitanda 220000 sofa 360000 friji 420000
Locatio tegeta wazo
Simu 0678332605
Reason narudi kijijini kulima[emoji16]View attachment 1201447View attachment 1201448View attachment 1201449View attachment 1201450View attachment 1201451View attachment 1201452View attachment 1201453
Namuongezea 250,000Friji kula 200k
Punguza masikhara kwenye maisha ya watu.niletee chalinze vyote kwa 50,000
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh haya ndo maamuzi magumu. Kila raheri mkubwa
Fridge 300k ipo mfuko wa shati
Well said brother. Mimi pia naomba nitoe ushauri kwa watu humu,msipende sana kutumia matatizo ya wengine kama fursa. Kuna watu bei wanayotamka kama wanataka kumkomoa muuzaji. Kumbuka mbali na kupata atakachokuuzia wewe pia unakuwa kama msaada kwa anayopitia mhusika ambapo itakuwa baraka kwako na vizazi vyako pia.Tuzingatieni muktadha wa jukwaa wapenda... Ni jukwaa la matangazo na si mijadala na kejeli
Unaweza kumcheka kuwa anarudi kijijini lakini huwezi kujua kwanini anarudi... Usishangae baada ya mwaka mmoja akawa njema kuliko wewe
Tuheshimu maamuzi ya mtu na tuwe na tafakuri pia.. Kama kuna magumu anapitia mtie moyo msaidie huyajui ya kesho... Kumbuka hujafa hujaumbika