SOLD: Vitu vya ndani vinauzwa vyote

Status
Not open for further replies.

Bac3

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2016
Posts
392
Reaction score
437
vyote vinauzwa pamoja isipokuwa Tv tu saa na pazia..

Bei tajwa hapo zote kuna maongezi

MAHALI; Gongolamboto Dar es salaam

SIMU ; 0683473391

kama unahitaji au kuuliza piga simu, maana siko online muda wote

sofa mbili zote......................................200,000
kiti cha plastic...........................................10,000
zulia.................................................................50,000
meza..............................................................90,000
mashine ya kufua..............................200,000
vyombo na jiko......................................120,000
kitanda,taa na box lake .................250,000
Fridge............................................................200,000


JUMLA VYOTE NI...........1,120,000

Ukihitaji vuote itakuwa bora zaidi na bei inakuwa nafuu zaidi kuliko kuchukua kimoja kimoja..ijapokuwa na kimoja kimoja inawezekana

CHANGAMOTO ZILIZOPO

* Kwenye mashine ya kufua sehemu ya kukausha ndo inazingua kukausha ila ukitaka kurekebisha inarekebisha..mimi sikuirekebisha kwa sababu hapakuwa na ulazima kiviiiile,nikapotezea....ila ni mashine heavy duty inabeba kilo 8 hadi 10 za nguo

* zulia ni la kufua tu

  • hilo sofa moja la njano unaweza badirisha cover yake
  • kitanda pia ni cha kufuta tu kama ukiona kuna sehemu yenye vumbi
ni hayo tu











 

Hicho kitanda...hata ukinipa bure no...
 
Mmmh..πŸ₯ΊπŸ₯Ί.
Hauna ndugu wa kumpa hivyo vitu?
 
Kwa kweli, ila wee, nimecheka hapa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kanifurahisha mdau kauliza hivi vyombo ndio 120k au kuna vingine....au jiko ndio bei kubwa kanifanya nikathaminishe kila chombo 🀣🀣🀣🀣🀣. JF ukinuna umejitakia
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…