Nina kesi ya madai mahakama ya mwanzo- yaani mimi ni mdai. kuna kila dalili ya mimi kushinda hii kesi. sasa naomba kujua
1 Hukumu huwa inatolewa kwa maneno tu au maandishi au vyote.
2 Mdaiwa kawaida huwa anapewa siku ngapi kulipa deni, deni ni kama milioni 10 hivi.
3 Je, baada ya hakimu kutoa hukumu natakiwa nifanye nini na ndani ya siku ngapi?
4 Je, siku ya hukumu kuna ushahidi wowote natakiwa niende nao mahakamani?
Ni hayo tu wakuu na kama kuna jambo lingine naomba nijuzwe.
1 Hukumu huwa inatolewa kwa maneno tu au maandishi au vyote.
2 Mdaiwa kawaida huwa anapewa siku ngapi kulipa deni, deni ni kama milioni 10 hivi.
3 Je, baada ya hakimu kutoa hukumu natakiwa nifanye nini na ndani ya siku ngapi?
4 Je, siku ya hukumu kuna ushahidi wowote natakiwa niende nao mahakamani?
Ni hayo tu wakuu na kama kuna jambo lingine naomba nijuzwe.