vitu vinavyotatiza sana

vitu vinavyotatiza sana

Elijah

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
1,663
Reaction score
424
1.Waumini wanapoingia kwenye nyumba za ibada kupenda kukaa viti vya nyuma kwanza hata kama vya mbele vipo wazi
2.ABIRIA wa daladala waliosimama kutopenda kurudi nyuma hata kama kuna nafasi
3.Dereva wa dalaldala mchaga,konda mzaramo,yaani mtakaa kituoni hadi mkome
 
Abiria wa daladala aliyekaa mbele kwa dereva kumwambia konda ashushe kituo flani wakati anayesimamisha gari ni jirani yake ambaye ndio dereva.
 
Back
Top Bottom