Ulifanyiwa kitchen party wewe...??? Siri za ndani hizo!
Huo ni utashi wa mtu mwenyewe, inawezekana kukosa kazi kunampa mawazo mengi sana na kupelekea stress!! Jaribu kuwa nae close na kwa upendo na utani unaeweza kumtania kuhusu kitanda!! Usitumie maneno makali coz anaweza kuhisi kukosa kwake kazi ndiko kunakufanya umfokee!
Nope! Si kila kitu ni mfumo dume, hali aliyonayo ya kukosa kazi inaweza kuchangia kumpa stress. Mtu mwenye stress unaweza ukamchukia kama hujamjua, hujikuta anawaza muda wote na asijue alifanyalo ni kosa!!
Swali ni kwamba, alikuwa hivyo mwanzoni akiwa na kazi?? Tabia halisi ni tofauti na stress ujue, inahitajika njia makini kubaini tatizo lake
Hapa tukiangalia juu juu tunaweza kutoa ushauri mbovu wa kuharibu ndoa! Nawashauri wadau msichukulie poa poa sana!
:focus:
Kitendo cha kusema hana kazi na mambo yote unafanikisha wewe, huo sio uungwana! Mwenyewe si umesema kama anahangaika kutafuta?
Naamini hayo manung'uniko yako yamerise kwa kasi kubwa baada ya kuona masuala ya misosi unafanikisha wewe! Unataka malipo kana kwamba naye achukue jukumu lako! Naamini akiosha vyombo utafurahia kitu ambacho si kizuri!
Hizo kazi unazonung'unikia hapo ni wajibu wako wa msingi!
Nakubaliana nawe 100% kwamba mapenzi ni kusaidiana! But unahitajika kuwaza zaidi ya hapo! Kitendo cha kufukuzwa/kusimamishwa/kuacha kazi kimeathiri huyo mmeo! Kisaikologia ana adjustment disorder! Unatakiwa kumpa moyo na kumfariji na sio kumnung'unikia tu!
Nna uhakika huyo mme anakupenda sana!
In nature kuna me hawapendi kufanya kazi ulizojitaja especially wanapokutwa na majanga eg: kufukuzwa kazi!
Huenda huyo mmeo anajiuliza hivi: "Kwa kua sina kazi, na kwa vile mkewa wangu ana kazi na anawajibika, jee fact hizo zinifanye nifanye kazi za kike? How if ikiwa ni ubushoke? Kwanini kufukuzwa kazi iwe sababu ya kuondoa amani yangu!
...
Nakushauri kaa naye chini uongee naye kwa upendo, acha kumlalamikia sana! Malalamiko hayajengi yanabomoa tu! Naamini na nitaendelea kuamini kwamba ukifanya hivyo mtaishi kwa amani!
...
Waweza pita na hapa huenda ukajifunza kitu: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/696522-makundi-manne-ya-binadamu.html
Wish you all the best!
Last week nilikuwa naosha Vyombo ,akaniita mama F naomba unitengenezee coffee akiwa ameshika remote anaangalia TV
Nikamwambia naosha vyombo my dear ila kila kitu kipo mezani please nisaidie kutengeneza wala hakunyanyua mguu anasubiri nikatengeneze ,na hapo mtoto nimeweka mgongoni wangu alikuwa mgonjwa
Nikatengeneza kikombe chake nikampa akasema asante basi
Umepata hata muda wa kuzungumza nae kweli?! Huu ni muda wa kumfariji na kuonesha upo pamoja nae katika kipindi hiki kigumu,pengine unam-mistreat maana unajiona ushakuwa 'fazahaus'... Zungumza nae kwa upendo,hakuna mwanaume timamu anaekubali kuwa chini ya mwanamke.. Sidhan kama ulikumkuta na kiburi hicho mlipoanza,wakati mwingine kiburi kinajengeka humo humo ndani ya nyumba...
hmmm kwanza pole...huyo mumeo bana anamatatizo...
Sio wote kwenye hali hiyo..kuna wanaume wengine wako safi mpaka raha,unasaidiwa kufua,kulisha mtoto,yaani kazi zooteee pale msaada unapohitajika/anapoona ni vyema kufanya...lakini kumbuka hiyo inategemea na malezi ya kwao..Mtu ambaye hajawahi kufanyishwa mazoezi ya kazi kwao usitarajie atakuja kufanya baadae.
Ikumbukwe pia mwingine anakuwa anajua kazi ila kufanya/kukusaidia anaona utamdhalau kuonekana mume ----- au kwakuwa hana kazi,kwahiyo hapo anajitutumua aonekane bado yumo..
Tatizo hapo ni kuwa umeolewa. Ingekuwa mmeoana kusingetokea tatizo kama hilo.
Tatizo lingine, ni pale mume anapokuwa mwizi akiwa kazini, akiachishwa kazi maisha yanakuwa magumu X 3.
Ukiona mwanamme mvivu namna hiyo ujuwe ni mvivu kazini pia na mvivu bedroom. Kwa situation kama hiyo usitegemee kama kuna ufumbuzi wowote utapatikana, hicho ndio kichocheo kikubwa cha wewe kutembea nje ya ndoa kama bado hujaanza mpaka leo.
Kwa sababu unatia heka ya juebdesha familia haina maana kuwa mumeo ndio atandike kitanda.
Wakati mumeo ana kazi nani alikuwa anatandika kitanda?
Huyo mwanaume hukumjua tabia kabla hajakuoa?
Ungelalamika kutokusaidia malezi ya mtoto. Lakini mengine yote kwa mtazamo wangu sioni kama yana tija
Na mume anaenda kutembea au anaenda kuangalia michongo?
Unless muneo ni mzungu, lakini kama mumeo ni mwafrika inabidi ujue wanaume wa kiafrika walivyo
Pole mwaya..... huyo kidume ndivyo alivyo na huwezi kumbadili maana hiyo iko kwenye damu. Lakini shost tabia hizo za uvivu hukuzigundua mkiwa wachumba? wanaume kama hawa huwa hawawezi hata kufuta viatu vyao na kuvipanga sehemu yake.
Na humu JF wapo kibaoooo kutwaaaaa na vilaptop/visim vyao hawajisogezi. Subiri kidogo utawaona tu....
Amani moyoni mwako jipe mwenyewe! Fanya shughuli zako usishughulike naye afanye sawa na asipofanya sawa tu... atabaki mumeo daima. Upo hapo zandile?
Hapo issue ni kuwa jamaa sasa kawa mzigo maana kama hizo tabia nina uhakika hazijaanza leo lkn ukawa unamvumilia sababu na yy anachangia tena labda zaidi kwenye pato la familia!
Jamaa kachokwa sababu haleti chochote home kuchangia na hii ndiyo zenu madada wengi!Yalinikuta kama haya nilifukuzwa kwa kuitwa "mbweha"usiku wa manane miezi 7 baada ya kupoteza kazi ehehehehe
nimesema mme wangu ana mwaka na nusu sasa kazi iliishaMleta mada unaonesha Ni kwa jinsi gani unavyotumia kete ya mwenzio kutomuwa na kazi kumnyanyasa.Umesema Una mwaka mmoja na nusu Katina ndoa lakini Una mtoto WA miaka mitano,je,mpaka mmefikia hatua ya kuwa na mtoto mkubwa namna hiyo,jukumu lake lilikuwa lipi❓❕➖Je,tabia hii alikuwa nayo kipindi chote au imetokea Mara tu baada ya kufukuzwa kazi❓