ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,141
- 950
Wakuu salamu.
Kwa muda wa zaidi ya miaka saba sasa nimekuwa nikisumbuliwa na mauzauza mwilini.
Najisikia vitu vinatembeatembea mwilini na mwili unawaka moto, pengine kama vichomi na hivi karibuni presha ilianza kupanda na kila ninapoamka muda wotewote miguu inakuwa kama inakamatwa na baadae mwili lzima unashambuliwa na nguvu zinazokunyima raha siku nzima.
Nimekuwa naomba sana na bado naendelea lakini ukimaliza kuomba ndio mashambulizi yanaibuka kama unapigwa viboko.
Kama kuna mdau ana uzoefu wa hali kama hii, tushirikshane.
Ninaendelea kumtumaini Mungu katika yote.
Kwa muda wa zaidi ya miaka saba sasa nimekuwa nikisumbuliwa na mauzauza mwilini.
Najisikia vitu vinatembeatembea mwilini na mwili unawaka moto, pengine kama vichomi na hivi karibuni presha ilianza kupanda na kila ninapoamka muda wotewote miguu inakuwa kama inakamatwa na baadae mwili lzima unashambuliwa na nguvu zinazokunyima raha siku nzima.
Nimekuwa naomba sana na bado naendelea lakini ukimaliza kuomba ndio mashambulizi yanaibuka kama unapigwa viboko.
Kama kuna mdau ana uzoefu wa hali kama hii, tushirikshane.
Ninaendelea kumtumaini Mungu katika yote.