KweliPamoja na kuwa baba wa Taifa ila vitu vingi sana vimepewa jina lake
Nashauri imetosha tuwape na wengine maana sasa historia inakuwa kwa mtu mmoja kama wengine hawakuwepo tu hebu tazama
Mwalimu nyerere memorial academy
Mwalimu nyerere international airport
Nyerere hydroelectric power
Nyerere road
Nyerere national park
Nyerere square
Haya hayaitaji hata katibaNyerere primary and secondary!
Mi nazani tatizo ni katiba mpya ....ili iwape watu zaidi kupendekeza jina mfano, daraja la nyerere kurasini lingetosha kuitwa KIGAMBONI BRIDGE,
AU TAZARA Flyover na siyo mfugale, uwanja wa taifa ungebaki kuwa national stadium na siyo mkapa ambaye hata hakuwahi kucheza mpira!
Watu wa visiwani mnadhani ndio mmeimiliki Tanganyika?
Hahaa kwamba tukiweka jina lake tu anakata moto kama hao vifaru?Njoo tuweke jina lako afu uwasalimie kina kijazi, mfugale na Jpm
Wanakuza mambo waonekane wamefnya kazi kubwaNyerere primary and secondary!
Mi nazani tatizo ni katiba mpya ....ili iwape watu zaidi kupendekeza jina mfano, daraja la nyerere kurasini lingetosha kuitwa KIGAMBONI BRIDGE,
AU TAZARA Flyover na siyo mfugale, uwanja wa taifa ungebaki kuwa national stadium na siyo mkapa ambaye hata hakuwahi kucheza mpira!