RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,411
- 135,042
Naongelea utamaduni halisi wa afrika walikuwa wanavaa hivyo ila tumebadilika baada ya wazungu na waarabu kuja kututawala.......Kama umenisoma vizuri niliandika 'afrika mambo YALIKUWA nje nje'Elewa kuwa hawavai hivyo kila siku bali siku hiyo kuna sherehe za kitamaduni.
Hawa hapa chini sio wa 'mswati'