Vitu 4 ambavyo vimekuwa overrated Duniani

maramojatu

JF-Expert Member
Mar 16, 2012
1,169
1,533
Za asubuhi wanajamii,

Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,

1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.

2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua

3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi

4. Pombe. Huo umuhimu wa pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.

Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
 
Za asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu was pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo overated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
Ngoja waje bado wamelala
 
5 Yesu.

Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.

6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
Unamaanisha Yesu. Au manabii feki!? Wanaotumia jina la Yesu!?

Firigisi 😂 😂 Si nyama ya kuku hii!
 
Za asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu was pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
1. Wanasiasa. (Yaani huwa wanajiona wana suluhu kwa kila tatizo lakini ni waoga hata wa hoja)
 
5 Yesu.

Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.

6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
Kwenye firigisi uniambii kitu mzee bora nisile paja ila sio firigisi
 
Za asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu was pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
Hela itoe hapo, unaioverate vipi hela wewe? Unaijua hela au unaisikia???

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom