Vitoto vya nguruwe vinauzwa Arusha

Vitoto vya nguruwe vinauzwa Arusha

Nimempigia simu ili tuongee hiyo bei ya laki 4 anipunguzie ila hajapokea
Yawezekana wanafika kilo mia mbili...ndg Kwa Bei hyo si mbayaaa. Kuna kaka Angu ye vinguruwe hivyo vidogo anauza Laki mbili hadi tatu inategemea na ukubwa wake
 
Taja bei. Au ndio zile bznes kila mteja n bei yake.unaangaliwa umeingiaje ili upigwe
 
Mm Ustadhi lakini nafuga kitimoto na pesa yake tamu sana.
Anayesema kufuga kitimoto ni Kharamu ni muhuni kama wahuni wengine.
 
Back
Top Bottom