antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,626
- 120,158
Minyukano ndani ya CCM ni mchezo wa kuigiza ili kumpoteza mama asifanikiwe. Wabara wanaigiza ili kumpoteza mama
Huu mnyukano unadhihirisha wabara tunavyotaka kumyumbisha Mama wa Zanzibar
Hapa mama ameishaelewa haya makundi yanayonyukana ndani ya ccm yana taswira ya kumkwamisha mbio za uchaguzi 2025
Hapa mama uelewe kuwa 2025 una kazi ngumu sana kufanya kampeni bara
Wabara wanapenda kujimwambafai na wanachokifanya ni kutaka kukuweka pembeni
Hatujawahi kusikia ccm Zanzibar wanarushiana maneno kisa utawala wa bara
Lakini Ccm Bara wana siri nzito dhidi yako
Time will tell !
Dawa katiba mpya# Serikali 3
Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700 Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar...
www.jamiiforums.com