SawaPoa ndugu
Unastahili kukamatwa kabisa maana hivyo vyeti vyako vina utata na uraia wako unatakiwa kuchunguzwa.
Nimekosa kazi mahali kwasababu ya kupoteza kitambulisho - imeniumiza sana
Jambo la kufanya,
1.Nenda ofisi za NIDA ya wilaya uliyochukulia
2.Watakupa fomu ya kupoteza kitambulisho yenye namba ya kitambulisho chako
3.Ipeleke polisi wakuandikie POLISI LOSS REPORT kwa Tsh 500 tu
4.Then nenda CRDB ulipie Tsh 20,000 ya kukuchapishia kipya ( Kitambulisho cha kwanza tu ndo hutolewa bure ) - Ukienda NIDA siku ya kwanza chukua namba ya ACCOUNT
4. Ukishalipia bank rudi NIDA waoneshe loss report ya polisi na bank paying slip then wao watakuandikia risiti ya serikali - Then utaambiwa usubiri ukachukue baada ya mwezi kupita au watakupigia simu ( Wanasema havitengenezewi hapa nchini )
ALL THE BEST
Cc princess qute Cc Halichachi
Nimeoa nchi jirani inakuaje hii nimpeleke au itasumbua
Pindi unajaza fom ulichanganya taarifa zako ndio maana jaribu kufatilia kama hukudanganya mahali au hukukoseaMi nilipiga picha kilakitu.wenzangu wameishapata mm bado hakijaja hii inakaaje
Sikudanganya mahali.Pindi unajaza fom ulichanganya taarifa zako ndio maana jaribu kufatilia kama hukudanganya mahali au hukukosea
We jamaa acha kudanganya...Hadi vitambulisho havitengenezwi hapo nchini!?
Kwa mfano, hapo Rwanda tu kwa PK wanatengeneza hapo Kigali tena kitambulisho very sophisticated ambacho mtu hawezi kutengeneza fake!?
Eeeeeh, Hayati Mwl Nyerere , njoo utuokoe maana daaaah, tunateseka.
Kila kitu nje ya nchi!?
Ulizaliwa wap!? Na copy ulizopeleka zina majina kama yale uliyojaza kwa fomu?Sikudanganya mahali.
Yapi?Isije kuwa kama Yale ya mda ule
Sio kweli mzee,Id isiyo na signature na Ile yenye signature tofauti ni kuwa moja sahihi unaiona kwenye kadi nyingine haipo nje kwenye kadi,kwakuwa tayari zaidi ya wananchi milioni 2.5 WA zanzibar,Dar na baadhi ya mikoa kama lindi na Tanga walishapewa Id zisizo na signature utaratibu ambao Nida waliutangazw ni kuwa kwa new applicants watapewe vipya wale wazamani waendelee kutumia id zao labda kama kitapotea au utaona Kuna ulazima WA kutaka sign ndio utafanyiwa reprinting kwa gharama yako ya sh 20000 vinginevyo endelea kutumia id yako kwakuwa bado iko valid pia hata ukitaka chenye sign,hutosign popote watai retrieve toka kwenye mfumo kwakuwa ulisha saini wakati unajisajili.Hapana visivyo na signature havitumiki tena.. Hvyo vinabadilishwa na kupewa vyenye sahihi..
Kitambulisho cha taifa kina zalishwa Dar es salaam sema malighafi ( blank Card) ndio zinatoka nje.Hadi vitambulisho havitengenezwi hapo nchini!?
Kwa mfano, hapo Rwanda tu kwa PK wanatengeneza hapo Kigali tena kitambulisho very sophisticated ambacho mtu hawezi kutengeneza fake!?
Eeeeeh, Hayati Mwl Nyerere , njoo utuokoe maana daaaah, tunateseka.
Kila kitu nje ya nchi!?
HayaSio kweli mzee,Id isiyo na signature na Ile yenye signature tofauti ni kuwa moja sahihi unaiona kwenye kadi nyingine haipo nje kwenye kadi,kwakuwa tayari zaidi ya wananchi milioni 2.5 WA zanzibar,Dar na baadhi ya mikoa kama lindi na Tanga walishapewa Id zisizo na signature utaratibu ambao Nida waliutangazw ni kuwa kwa new applicants watapewe vipya wale wazamani waendelee kutumia id zao labda kama kitapotea au utaona Kuna ulazima WA kutaka sign ndio utafanyiwa reprinting kwa gharama yako ya sh 20000 vinginevyo endelea kutumia id yako kwakuwa bado iko valid pia hata ukitaka chenye sign,hutosign popote watai retrieve toka kwenye mfumo kwakuwa ulisha saini wakati unajisajili.
Kama hujaridhika na ufahamu wangu jaribu kutembelea website ya www.Nida.go.tz au tembelea instagram page yao uliza swali lako utajibiwa au fika ofisi iliyo karibu nawe ambazo ziko wilaya zote Tanzania.
Sent from my LG-F320L using JamiiForums mobile app
We jamaa acha kudanganya...
Kudanganya nini na wapi!?
Huna uhakika kuwa Rwanda wana vitambulisho vyao vya Taifa!?
Au nimedanganya juu ya nini!?[/QUOTEbac yaishe
Ficha id yako....mbona ume ji expose hivi
Nipo tayari
Jaribu kuuliza kwa mwenyekit wako au kwa mkurugenzTaarifa hii ndio naisoma je Mimi niko Manispaa ya Ilemela niombe kuuliza Huduma hii inapatikana wapi ktk Manispaa yetu?