Vitambulisho vya Rais vya Wajasiriamali, Uandikishaji wa wanachama wa CCM kwenda mfumo wa kielektroniki ni mkakati wa wizi wa kura 2019 na 2020!!

The Palm Tree

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
7,951
12,535
Sina hakika kama vyama shindani dhidi ya CCM vinalijua hili na kufanya counter attack kuona namna ya kuzuia na kukabiliana nalo....

Ndiyo. CHADEMA ama CUF ama UKAWA kwa ujumla mnaweza kuwa na mgombea Urais mzuri sana, na presentable katika uchaguzi mkuu wa 2020 ambaye ni very firm, aggressive na well informed kama Tundu Lissu, lakini kama hamtatambua mapema mbinu wanazozitumia CCM kushinda chaguzi na kuzikabili mapema, itakuwa ni kazi bure na kilio cha miaka yote cha kuibiwa kura chaweza kuwakumba pia mwaka 2020...

Sasa someni hii kwa utafiti usio rasmi sana nilioufanya mimi mwenyewe katika baadhi ya kata na vijiji MKOA WA SHINYANGA...

Kwanza ni vyema kufahamu kuwa, kwa mfumo wa utawala wa nchi yetu, ni ngumu sana kukitenganisha chama kinachotawala/ongoza serikali na chenyewe kama chama cha siasa. Hilo liko wazi kabisa...

Si tu kwa kuwa CCM ndiyo inatawala kwa sasa, bali hata kama itatokea kesho CHADEMA ama TLP ama NCCR - Mageuzi wakashika dola, nao wata enjoy mwavuli huu kama ilivyo leo kwa CCM.....

Kwa sasa na ambao labda hawajui, ni kuwa kuna mazoezi mawili ya aina yake yanaendelea nchi nzima....

Ukitafakari kwa kina namna mazoezi haya yanavyoendeshwa na kusimamiwa, unaikosa mantiki yake zaidi ya kuyaona ktk malengo ya kisiasa zaidi kinyume na inavyosemwa. Haya ni:

1. Zoezi la Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuandikisha wanachama wake upya kutoka ktk mfumo wa analogy kwenda mfumo wa kidigitali (kielektroniki)

2. Zoezi la kugawa Vitambulisho vya Rais kwa wamachinga vilivyopewa jina la Vitambulisho vya wajasiriamali wenye mtaji usiozidi Tshs 4,000,000 kwa kulipia Tshs 20,000 kila kitambulisho.

Shida yangu si mazoezi haya kufanyika. Tatizo langu kubwa ni malengo yake kwa kuangalia namna yanavyoendeshwa na kusimamiwa...

UANDIKISHWAJI WA WANACHAMA WA CCM KUTOKA MFUMO WA ANALOGY KWENDA KWENYE MFUMO WA KIELEKTRONIKI:

√Kwa sasa zoezi hili linaendelea nchi nzima kila kijiji/mtaa, kata, wilaya na mkoa....

√Kinachofanyika si tu kuwasajili wanachama wao ktk mfumo wa kielektroniki, bali ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya ambao hawajawahi kuwa wanaCCM (hili sina tatizo nalo maana kila chama kina haki ya kutafuta wanachama)....

√Vituo vya waandikishaji hawa ni taasisi za umma kama shule, masoko, zahanati nk

√ Kwa kuwa vituo vya Uandikishaji kama nilivyosema ni taasisi za umma kama shule za awali, msingi, sekondari, zahanati, vituo vya afya nk, sharti la kwanza ni lazima kila mtumishi wa umma wa taasisi ile aandikishwe (hili lilinishangaza)....

√Unapokwenda kuandikishwa, sharti uwe na kitambulisho cha mpiga kura kama kigezo number one kwa wote wanachama wa kale na wanaoingia kwa mara ya kwanza (siyo kadi ya CCM!!).

√Ukifika unaonesha kadi yako ya mpiga kura, wanachukua namba yake, wanakipiga picha kwa kutumia simu maalumu walizopewa kwa kazi hiyo na baadaye nawe unapigwa picha na kurudishiwa Voter's ID yako na kisha unalipa Tshs 500 wanaita Registration fees.....

√Hili lilifanya nijiulize maswali haya:

1. Kwa nini wanalazimisha kila mtumishi wa umma aandikishwe kama CCM member?

2. Kwa nini voter's ID inakuwa ni kigezo kikubwa kuandikishwa?

3. Kwa nini ktk kuandikishwa mtumishi analazimika kutaja hadi umri wake kazini?

√ Binafsi, jibu nililolipata ni, hili, kuwa ni maandalizi ya uchaguzi wa Mwaka 2020 na hata wa 2019. Kuna hatari hata usipoenda kupiga kura siku hiyo, kwa mfumo huu utaonekana umempigia mgombea wa CCM kwa ngazi zote...... !

Wewe unalionaje hili? Vyama shindani dhidi ya CCM mpo? Mnayajua haya? Tundu Lissu aweza kuwa mgombea mzuri sana na kwenye fair playing ground, anaweza kushinda kirahisi kabisa kwa zaidi hata ya 90%. Lakini kwa mazingira haya yanayoandaliwa, itawezekana?

VITAMBULISHO VYA RAIS KWA WAMACHINGA:

√ Vina direct connection na chaguzi zote zinazokuja. Ni maandalizi ya wizi wa kura hayo na wala huhitaji PhD ya korosho ama kemia kulielewa hili.......!!

√ Just try to think. Tangu lini ofisi ya Rais ikishirikiana na ofisi za RCs, DCs, Maafisa Tarafa, WEOs, VEOs zikawa na majukumu ya moja kwa moja kuratibu shughuli za ukusanyaji mapato wakati ipo taasisi maalumu inayohusika kisheria kufanya shughuli hiyo, ambayo ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)?? Hamjiulizi hili na mkaja na kauli ya msimamo thabiti??

√ Kwa taarifa tu kwa wale wasiojua ni kwamba, hata kama huna Tshs 20,000, huna biashara yoyote ya hata genge la nyanya, kitambulisho hicho unapewa.....!!

√Watendaji wa vijiji wanachofanya ni tena kupita wenye taasisi za umma kama shule nk na kuwalazimisha walimu, manesi na yeyote aliye tayari kuchukua kadi hiyo buree haijalishi una biashara ama huna kama nilivyosema..!!

√ Kwa kifupi ni kuwa hivi Vitambulisho vya umachinga + kadi za lazima za uanachama wa CCM vina maana yake huko mbeleni, kwamba, vinaweza kuja kutumika kwa siri kubwa kama kigezo kwa watumishi wa umma cha kupata huduma, stahiki zako toka serikalini.....!!

• Niliongea na mtumishi mmoja aliyepata kadi ya CCM na ambaye hapo kabla (kwa maelezo yake) hakuwa mwanachama rasmi wa chama chochote cha siasa bali mpenzi na shabiki wa siasa za kimageuzi....

Nilimuuliza kipi kimemvutia sasa kuchukua kadi ya CCM. Jibu lake lilikuwa la kufikiririsha kidogo lakini lenye maana kubwa, na defenetely ndivyo ilivyo......

Alisema, ".....ndugu, if you can't beat them, join them.....!!!"

Namalizia kwa kusema, Tundu Lissu ama mwingine yeyote aweza kuwa perfect choice, perfect challenger wa CCM na Magufuli next 2020 General Election....

Lakini kama vyama vya upinzani vita - rely kwenye uwezo binafsi wa mgombea na personality yake pamoja na siasa za matukio ya kutengenezwa na washindani kisiasa kwa lengo la kuwatoa kwenye "focus" huku mkipuuzia kudhibiti mapema mbinu ovu kama hizi ambazo CCM huzitumia kushinda chaguzi, basi kilio cha kuibiwa kura kipo palepale ktk chaguzi zijazo...

Na mwisho mtakija kujiuliza kulikoni haya mambo??... Hiyo inakuwa haina maana tena kwani kwa waakati huo itakuwa imeshakuwa TOO LATE.....!!

Vyama shindani mpo??? .... Wake up. Mapambano yawe kotekote, kwenye mahandaki, milimani, baharini na nchi kavu na hata angani. Amkeni,!!

Msije mkasema hatukuwaambia. Tunahitaji uongozi wenu. Tuambieni ni nini cha kufanya.

Sisi wengine ni Jeshi kubwa ambalo tuko very unknown and invisible lakini tuko nyuma yenu, na tuko tayari kusaidia wakati wowote iwe mchana au usiku, mvua ama jua. What matters, ni onesheni uongozi uliotukuka na makini, toeni maelekezo YATATEKELEZWA!!
 
Sina hakika kama vyama shindani dhidi ya CCM vinalijua hili na kufanya counter attack kuona namna ya kuzuia na kukabiliana nalo....

Ndiyo. CHADEMA ama CUF ama UKAWA kwa ujumla mnaweza kuwa na mgombea Urais mzuri sana, na presentable katika uchaguzi mkuu wa 2020 ambaye ni very firm, aggressive na well informed kama Tundu Lissu, lakini kama hamtatambua mapema mbinu wanazozitumia CCM kushinda chaguzi na kuzikabili mapema, itakuwa ni kazi bure na kilio cha miaka yote cha kuibiwa kura chaweza kuwakumba pia mwaka 2020...

Sasa someni hii kwa utafiti usio rasmi sana nilioufanya mimi mwenyewe katika baadhi ya kata na vijiji MKOA WA SHINYANGA...

Kwanza ni vyema kufahamu kuwa, kwa mfumo wa utawala wa nchi yetu, ni ngumu sana kukitenganisha chama kinachotawala/ongoza serikali na chenyewe kama chama cha siasa. Hilo liko wazi kabisa...

Si tu kwa kuwa CCM ndiyo inatawala kwa sasa, bali hata kama itatokea kesho CHADEMA ama TLP ama NCCR - Mageuzi wakashika dola, nao wata enjoy mwavuli huu kama ilivyo leo kwa CCM.....

Kwa sasa na ambao labda hawajui, ni kuwa kuna mazoezi mawili ya aina yake yanaendelea nchi nzima....

Ukitafakari kwa kina namna mazoezi haya yanavyoendeshwa na kusimamiwa, unaikosa mantiki yake zaidi ya kuyaona ktk malengo ya kisiasa zaidi kinyume na inavyosemwa. Haya ni:

1. Zoezi la Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuandikisha wanachama wake upya kutoka ktk mfumo wa analogy kwenda mfumo wa kidigitali (kielektroniki)

2. Zoezi la kugawa Vitambulisho vya Rais kwa wamachinga vilivyopewa jina la Vitambulisho vya wajasiriamali wenye mtaji usiozidi Tshs 4,000,000 kwa kulipia Tshs 20,000 kila kitambulisho.

Shida yangu si mazoezi haya kufanyika. Tatizo langu kubwa ni malengo yake kwa kuangalia namna yanavyoendeshwa na kusimamiwa...

UANDIKISHWAJI WA WANACHAMA WA CCM KUTOKA MFUMO WA ANALOGY KWENDA KWENYE MFUMO WA KIELEKTRONIKI:

√Kwa sasa zoezi hili linaendelea nchi nzima kila kijiji/mtaa, kata, wilaya na mkoa

√Kinachofanyika si tu kuwasajili wanachama wao ktk mfumo wa kielektroniki, bali ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya ambao hawajawahi kuwa wanaCCM (hili sina tatizo nalo maana kila chama kina haki ya kutafuta wanachama)

√Vituo vya waandikishaji hawa ni taasisi za umma kama shule, masoko, zahanati nk

√ Kwa kuwa vituo vya Uandikishaji kama nilivyosema ni taasisi za umma kama shule za awali, msingi, sekondari, zahanati, vituo vya afya nk, sharti la kwanza ni lazima kila mtumishi wa umma uandikishwe (hili lilinishangaza)

√Unapokwenda kuandikishwa, sharti uwe na kitambulisho cha mpiga kura kama kigezo number one (siyo kadi ya CCM!!).

√Ukifika unaonesha kadi yako ya mpiga kura, wanachukua namba yake, wanakipiga picha kwa kutumia simu maalumu walizopewa kwa kazi hiyo na baadaye nawe unapigwa picha na kurudishiwa Voter's ID yako na kisha unalipa Tshs 500 wanaita Registration fees

√Hili lilifanya nijiulize maswali haya:

1. Kwa nini wanalazimisha kila mtumishi wa umma aandikishwe kama CCM member?

2. Kwa nini voter's ID inakuwa ni kigezo kikubwa kuandikishwa?

3. Kwa nini ktk kuandikishwa mtumishi analazimika kutaja hadi umri wake kazini?

√ Binafsi, jibu nililolipata ni, haya ni maandalizi ya uchaguzi wa Mwaka 2020 na hata wa 2019. Kuna hatari hata usipoenda kupiga kura siku hiyo, kwa mfumo huu utaonekana umempigia mgombea wa CCM!!

Wewe unalionaje hili? Vyama shindani dhidi ya CCM mpo? Mnayajua haya? Tundu Lissu aweza kuwa mgombea mzuri sana na kwenye fair ground play, anaweza kushinda kirahisi kabisa. Lakini kwa haya itawezekanaje?

VITAMBULISHO VYA RAIS KWA WAMACHINGA:

√ Vina direct connection na chaguzi zote zinazokuja. Ni maandalizi ya wizi wa kura hayo na wala huhitaji PhD ya korosho ama kemia kulielewa hili!!

√ Just try to think. Tangu lini ofisi ya Rais ikishirikiana na ofisi za RCs, DCs, Maafisa Tarafa, WEOs, VEOs kuratibu shughuli za ukusanyaji mapato wakati ipo taasisi inayohusika kisheria kufanya shughuli hiyo, ambayo ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)??

√ Kwa taarifa tu kwa wale wasiojua ni kwamba, hata kama huna Tshs 20,000 kitambulisho hicho unapewa. Watendaji wa vijiji wanachofanya ni tena kupita wenye taasisi za umma kama shule nk na kuwalazimisha walimu, manesi kuchukua kadi hizo haijalishi una biashara ama huna...!!

√ Kwa kifupi ni kuwa hivi Vitambulisho vya umachinga + kadi za uanachama wa CCM vina maana yake huko mbeleni, kwamba, vinaweza kuja kutumika kwa siri kama kigezo cha kupata huduma seeikalini!!

Namalizia kwa kusema, Tundu Lissu aweza kuwa perfect challenger wa CCM na Magufuli next 2020 General Election, lakini kama vyama vya upinzani vita rely kwenye uwezo binafsi wa mgombea na personality yake bila kuziangalia kuzidhibiti mapema mbinu ovu kama hizi ambazo CCM huzitumia kushinda chaguzi, basi kilio cha kuibiwa kura ziko palepale ktk chaguzi zijazo!!

Upinzani mpo? Wake up. Mapambano yawe kotekote, kwenye mahandaki, milimani, baharini na nchi kavu na hata angani. Amkeni,!!
World Bank wamesitisha miradi kadhaa nchi ukiwemo upanuzi wa barabara wa toka Ubungo mpaka Chalinze, Mh Rais alichofanya kujibana kwa kidogo alichanocho na wananchi wake anajenga njia Nane pale kimara mpaka Kibaha!

World bank huyohuyo akaja npia akamyumbisha kwenye miradi ya Elimu kisa tu wajawazito warudi mashuleni mara baada ya kujifungua! Jamaa akasema hapana kwakweli! Sina hakika kama tumepata hela mpaka sasa! na sina Hakika kama Ubungo Interchange World Bank ataendelea kutoa fedha pale...!

Majuzi tu Dr Philip Mpangi alikuwa anazungumzia nchi wahisani kutotimiza ahadi zao katika bajeti.!!

Mh Rais anajua ukikaa ukasubiri mikopo na ufadhili utayumba akaona atengeneze chanzo cha mapato kupitia wamachinga! Mh Rais anawaza kodi afanye vitu wewe unawaza siasa za 2020...!
 
√ Kwa kifupi ni kuwa hivi Vitambulisho vya umachinga + kadi za uanachama wa CCM vina maana yake huko mbeleni, kwamba, vinaweza kuja kutumika kwa siri kama kigezo cha kupata huduma seeikalini!!

Mwenye kusikia na asikie ukweli huu.
Tanzania tuna watu wenye akili kama kwingine kote duniani, lakini hatutaki kuzitumia akili zetu kwa manufaa yetu. Sijui tuna tatizo gani.
 
World Bank wamesitisha miradi kadhaa nchi ukiwemo upanuzi wa barabara wa toka Ubungo mpaka Chalinze, Mh Rais alichofanya kujibana kwa kidogo alichanocho na wananchi wake anajenga njia Nane pale kimara mpaka Kibaha!

World bank huyohuyo akaja npia akamyumbisha kwenye miradi ya Elimu kisa tu wajawazito warudi mashuleni mara baada ya kujifungua! Jamaa akasema hapana kwakweli! Sina hakika kama tumepata hela mpaka sasa! na sina Hakika kama Ubungo Interchange World Bank ataendelea kutoa fedha pale...!

Majuzi tu Dr Philip Mpangi alikuwa anazungumzia nchi wahisani kutotimiza ahadi zao katika bajeti.!!

Mh Rais anajua ukikaa ukasubiri mikopo na ufadhili utayumba akaona atengeneze chanzo cha mapato kupitia wamachinga! Mh Rais anawaza kodi afanye vitu wewe unawaza siasa za 2020...!

Politics ndiyo maisha yenyewe hayo mkubwa...

Ukiona anahangaika hivyo iwe kwa njia halali ama haramu, ujue anatafuta political recognition ili aendelee kuwepo wepo ingalau....

Siasa ni uchumi na uchumi ni siasa. Ukikosea kufanya siasa, umekosea uchumi, unainua umaskini wa watu...

That's what CCM has been doing since 1961.....strengthening people's poverty line through poor leadership as connected to dirty politics..!!
 
kuchukua namba za kitambulisho cha Nec kunakunyima vipi fursa ya kumchagua mgombea umtakae?
Acheni kujitisha,mambo ni 2020

Hujui kuwa database ya wapiga kura iko chini ya mwenyekiti wa NEC kada wa CCM?

Huna akili na macho kuliona hili kuwa lina direct connection na masanduku ya kura?
 
Mimi ni mwana CCM na taarifa za ubadikishaji wa electronic cards ninazo.

Siyo kweli kwamba ni mpango wa kuiba kura.

Hilo la kudaiwa kitambulisho cha mpiga kura liko hivi: ni kwamba, ili upate kadi ya electronic, vigezo ni lazima uwe na kadi ya zamani (iwapo ni mwana ccm). Kigezo kingine, uwe na kadi ya mpiga kura, au leseni ya udereva, ana barua ya mjumbe. Hivi ni vitu vya kawaida. Siyo kweli kwamba unatakiwa uwe na kadi ya mpiga kura ndiyo upewe kadi ya ccm.

Halafu, lengo la kadi hizi n kurahisisha uwekaji was kumbukumbu za wanachama na pia kuepusha wanachama kuwa na kadi nyingi. Mfano, kadi ya ccm, UVCCM, wazazi, UWT. Badala yake, kama ni mwanachama basi jumuia alizopo zitaainishwa kwenye kadi moja.

Pia kadi hizi ni rahisi kutumia, kuhifadhi na kulipia.

Siyo jambo geni, maana hata chadema wamewahi kutamka kwamba watakuwa na kadi za aina hii.

Kwa hiyo tafuteni njia nyingine za kubembeleza kura siyo kila uchaguzi mnalalama tu wizi.

Kama mnaibiwa kura kweli, je, mkipewa nchi mtaiweza?
 
Vya umachinga ni ukosefu wa mapato. Vya CCM ni maandalizi ya kuiba kura kuanzia serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020. Hilo lipo wazi.
 
World Bank wamesitisha miradi kadhaa nchi ukiwemo upanuzi wa barabara wa toka Ubungo mpaka Chalinze, Mh Rais alichofanya kujibana kwa kidogo alichanocho na wananchi wake anajenga njia Nane pale kimara mpaka Kibaha!

World bank huyohuyo akaja npia akamyumbisha kwenye miradi ya Elimu kisa tu wajawazito warudi mashuleni mara baada ya kujifungua! Jamaa akasema hapana kwakweli! Sina hakika kama tumepata hela mpaka sasa! na sina Hakika kama Ubungo Interchange World Bank ataendelea kutoa fedha pale...!

Majuzi tu Dr Philip Mpangi alikuwa anazungumzia nchi wahisani kutotimiza ahadi zao katika bajeti.!!

Mh Rais anajua ukikaa ukasubiri mikopo na ufadhili utayumba akaona atengeneze chanzo cha mapato kupitia wamachinga! Mh Rais anawaza kodi afanye vitu wewe unawaza siasa za 2020...!
Kuchukua 20,000 ya machinga ndio kujenga nchi? What happened to vi wonder and what happened to rais wa wanyonge. Rais wa wanyonge abawakamua wanyonge 20,000 fastafasta tu kwa mgongo wa kujenga nchi. Mbona hatujaona darasa au dawati alilojenga/tengeneza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi uwongo huo unakinufaishaje chama cha CHADEMA?

Umeandika uwongo mtupu kuhusu Vitambulisho vya Wajasiriamali wadogo.
 
Sina hakika kama vyama shindani dhidi ya CCM vinalijua hili na kufanya counter attack kuona namna ya kuzuia na kukabiliana nalo....

Ndiyo. CHADEMA ama CUF ama UKAWA kwa ujumla mnaweza kuwa na mgombea Urais mzuri sana, na presentable katika uchaguzi mkuu wa 2020 ambaye ni very firm, aggressive na well informed kama Tundu Lissu, lakini kama hamtatambua mapema mbinu wanazozitumia CCM kushinda chaguzi na kuzikabili mapema, itakuwa ni kazi bure na kilio cha miaka yote cha kuibiwa kura chaweza kuwakumba pia mwaka 2020...

Sasa someni hii kwa utafiti usio rasmi sana nilioufanya mimi mwenyewe katika baadhi ya kata na vijiji MKOA WA SHINYANGA...

Kwanza ni vyema kufahamu kuwa, kwa mfumo wa utawala wa nchi yetu, ni ngumu sana kukitenganisha chama kinachotawala/ongoza serikali na chenyewe kama chama cha siasa. Hilo liko wazi kabisa...

Si tu kwa kuwa CCM ndiyo inatawala kwa sasa, bali hata kama itatokea kesho CHADEMA ama TLP ama NCCR - Mageuzi wakashika dola, nao wata enjoy mwavuli huu kama ilivyo leo kwa CCM.....

Kwa sasa na ambao labda hawajui, ni kuwa kuna mazoezi mawili ya aina yake yanaendelea nchi nzima....

Ukitafakari kwa kina namna mazoezi haya yanavyoendeshwa na kusimamiwa, unaikosa mantiki yake zaidi ya kuyaona ktk malengo ya kisiasa zaidi kinyume na inavyosemwa. Haya ni:

1. Zoezi la Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuandikisha wanachama wake upya kutoka ktk mfumo wa analogy kwenda mfumo wa kidigitali (kielektroniki)

2. Zoezi la kugawa Vitambulisho vya Rais kwa wamachinga vilivyopewa jina la Vitambulisho vya wajasiriamali wenye mtaji usiozidi Tshs 4,000,000 kwa kulipia Tshs 20,000 kila kitambulisho.

Shida yangu si mazoezi haya kufanyika. Tatizo langu kubwa ni malengo yake kwa kuangalia namna yanavyoendeshwa na kusimamiwa...

UANDIKISHWAJI WA WANACHAMA WA CCM KUTOKA MFUMO WA ANALOGY KWENDA KWENYE MFUMO WA KIELEKTRONIKI:

√Kwa sasa zoezi hili linaendelea nchi nzima kila kijiji/mtaa, kata, wilaya na mkoa

√Kinachofanyika si tu kuwasajili wanachama wao ktk mfumo wa kielektroniki, bali ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya ambao hawajawahi kuwa wanaCCM (hili sina tatizo nalo maana kila chama kina haki ya kutafuta wanachama)

√Vituo vya waandikishaji hawa ni taasisi za umma kama shule, masoko, zahanati nk

√ Kwa kuwa vituo vya Uandikishaji kama nilivyosema ni taasisi za umma kama shule za awali, msingi, sekondari, zahanati, vituo vya afya nk, sharti la kwanza ni lazima kila mtumishi wa umma uandikishwe (hili lilinishangaza)

√Unapokwenda kuandikishwa, sharti uwe na kitambulisho cha mpiga kura kama kigezo number one (siyo kadi ya CCM!!).

√Ukifika unaonesha kadi yako ya mpiga kura, wanachukua namba yake, wanakipiga picha kwa kutumia simu maalumu walizopewa kwa kazi hiyo na baadaye nawe unapigwa picha na kurudishiwa Voter's ID yako na kisha unalipa Tshs 500 wanaita Registration fees

√Hili lilifanya nijiulize maswali haya:

1. Kwa nini wanalazimisha kila mtumishi wa umma aandikishwe kama CCM member?

2. Kwa nini voter's ID inakuwa ni kigezo kikubwa kuandikishwa?

3. Kwa nini ktk kuandikishwa mtumishi analazimika kutaja hadi umri wake kazini?

√ Binafsi, jibu nililolipata ni, haya ni maandalizi ya uchaguzi wa Mwaka 2020 na hata wa 2019. Kuna hatari hata usipoenda kupiga kura siku hiyo, kwa mfumo huu utaonekana umempigia mgombea wa CCM!!

Wewe unalionaje hili? Vyama shindani dhidi ya CCM mpo? Mnayajua haya? Tundu Lissu aweza kuwa mgombea mzuri sana na kwenye fair ground play, anaweza kushinda kirahisi kabisa. Lakini kwa haya itawezekanaje?

VITAMBULISHO VYA RAIS KWA WAMACHINGA:

√ Vina direct connection na chaguzi zote zinazokuja. Ni maandalizi ya wizi wa kura hayo na wala huhitaji PhD ya korosho ama kemia kulielewa hili!!

√ Just try to think. Tangu lini ofisi ya Rais ikishirikiana na ofisi za RCs, DCs, Maafisa Tarafa, WEOs, VEOs kuratibu shughuli za ukusanyaji mapato wakati ipo taasisi inayohusika kisheria kufanya shughuli hiyo, ambayo ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)??

√ Kwa taarifa tu kwa wale wasiojua ni kwamba, hata kama huna Tshs 20,000 kitambulisho hicho unapewa. Watendaji wa vijiji wanachofanya ni tena kupita wenye taasisi za umma kama shule nk na kuwalazimisha walimu, manesi kuchukua kadi hizo haijalishi una biashara ama huna...!!

√ Kwa kifupi ni kuwa hivi Vitambulisho vya umachinga + kadi za uanachama wa CCM vina maana yake huko mbeleni, kwamba, vinaweza kuja kutumika kwa siri kama kigezo cha kupata huduma seeikalini!!

Namalizia kwa kusema, Tundu Lissu aweza kuwa perfect challenger wa CCM na Magufuli next 2020 General Election, lakini kama vyama vya upinzani vita rely kwenye uwezo binafsi wa mgombea na personality yake bila kuziangalia kuzidhibiti mapema mbinu ovu kama hizi ambazo CCM huzitumia kushinda chaguzi, basi kilio cha kuibiwa kura ziko palepale ktk chaguzi zijazo!!

Upinzani mpo? Wake up. Mapambano yawe kotekote, kwenye mahandaki, milimani, baharini na nchi kavu na hata angani. Amkeni,!!
Pia ongeza zoezi la kuandikisha walikuma hasa wa mazao mkakati kama korosho, pamba, kahawa, Pareto nk. ambayo kwa ujumla wake yanagusa pembe zote za nchi. Data hizi ni muhimu kwa kila taasisi husika. Naamini kila taasisi itakuwa na kanzi data yake lakini upatikanaji na matumizi ya taarifa hizi utakuwa katika makundi mawili; taasi kupata na kutumia data kutoka kanzidata zote tatu kwa kutumia mtandao mpana wa kiitelijensia na taasisi zingine kutumia data za kanzi data zake tu. Ikumbukwe kuwa data za machachinga na wakuliwa hazina sura na taswira za vyama vya siasi lakini wengi wa wahusika ni wana chama wa vyama vya siasa. Kwa Kanzi data za CCM wahusika ni wana chama wa CCM pekee. Je vyama vya siasa kama CCM, CHADEMA, CUF, NCCR, ACT nk zinaweza kupata data kutoka kanzi data za machinga na wakulima kwa urahisi ama kuna chama kitakuwa na “added advantage” Kupata data kutoka kila kanzi data za machinga na wakulima?
 
Politics ndiyo maisha yenyewe hayo mkubwa...

Ukiona anahangaika hivyo iwe kwa njia halali ama haramu, ujue anatafuta political recognition ili aendelee kuwepo wepo ingalau....

Siasa ni uchumi na uchumi ni siasa. Ukikosea kufanya siasa, umekosea uchumi, unainua umaskini wa watu...

That's what CCM has been doing since 1961.....strengthening people's poverty line through poor leadership as connected to dirty politics..!!
Huko SOuth Africa watu kama machinga wana vitambulisho na wanalipa kodi huku kwetu tukifanya munaingiza siasa! Watanzania tumekuwa watu wa ajabu...!
 
Kuchukua 20,000 ya machinga ndio kujenga nchi? What happened to vi wonder and what happened to rais wa wanyonge. Rais wa wanyonge abawakamua wanyonge 20,000 fastafasta tu kwa mgongo wa kujenga nchi. Mbona hatujaona darasa au dawati alilojenga/tengeneza

Sent using Jamii Forums mobile app
20,000 ukiigawa kwa siku 365 sawa na kiasi gani kwa siku ambacho mnyonge anashindwa kulipa?
 
Pia ongeza zoezi la kuandikisha walikuma hasa wa mazao mkakati kama korosho, pamba, kahawa, Pareto nk. ambayo kwa ujumla wake yanagusa pembe zote za nchi. Data hizi ni muhimu kwa kila taasisi husika. Naamini kila taasisi itakuwa na kanzi data yake lakini upatikanaji na matumizi ya taarifa hizi utakuwa katika makundi mawili; taasi kupata na kutumia data kutoka kanzidata zote tatu kwa kutumia mtandao mpana wa kiitelijensia na taasisi zingine kutumia data za kanzi data zake tu. Ikumbukwe kuwa data za machachinga na wakuliwa hazina sura na taswira za vyama vya siasi lakini wengi wa wahusika ni wana chama wa vyama vya siasa. Kwa Kanzi data za CCM wahusika ni wana chama wa CCM pekee. Je vyama vya siasa kama CCM, CHADEMA, CUF, NCCR, ACT nk zinaweza kupata data kutoka kanzi data za machinga na wakulima kwa urahisi ama kuna chama kitakuwa na “added advantage” Kupata data kutoka kila kanzi data za machinga na wakulima?

Asante kwa nyongeza

Lakini ikumbukwe kuwa hata kama vyama vingine vikiamua kufanya zoezi kama wanavyofanya CCM, hawatapata ruhusa hiyo....!!
 
Asante kwa nyongeza

Lakini ikumbukwe kuwa hata kama vyama vingine vikiamua kufanya zoezi kama wanavyofanya CCM, hawatapata ruhusa hiyo....!!
Vyama vingine wanaweza kuanzisha kanzidata za wanachama wake. Changamoto vyama vingi havina uongozi na ofisi katika ngazi za vitongoji na vijiji ambako zaidi ya 65% ya Watanzania wanaishi. Hawafiki ngazi hizi kwa sababu hawana rasillimali za kutosha kwa hiyo hawana mtandao mpana. Lakini pale ambako kuna fursa hizo watumie vikao vya ndani.
 
Hujui kuwa database ya wapiga kura iko chini ya mwenyekiti wa NEC kada wa CCM?

Huna akili na macho kuliona hili kuwa lina direct connection na masanduku ya kura?
hata ingekua ipo chadema,ingenizuia vipi nisimchague Magufuli?kawadanganye mburula wenzio,data base ingekua ipo ccm,Lowassa asingepata kura milioni 6
 
hata ingekua ipo chadema,ingenizuia vipi nisimchague Magufuli?kawadanganye mburula wenzio,data base ingekua ipo ccm,Lowassa asingepata kura milioni 6
Haa haa hujui kuwa Magufuli aliambulia kura laki 500,000 zikaongezwa hadi kufika hizo m8?

Kumbe NEC ni ya nani kama siyo CCM?

mwenyekiti wa NEC huteuliwa na kuripoti kwa nani kama siyo kwa mwenyekiti wa CCM taifa inagalau kwa sasa?

Mbona unaongea kama vile si Mtanzania wewe?
 
Haa haa hujui kuwa Magufuli aliambulia kura laki 500,000 zikaongezwa hadi kufika hizo m8?

Kumbe NEC ni ya nani kama siyo CCM?

mwenyekiti wa NEC huteuliwa na kuripoti kwa nani kama siyo kwa mwenyekiti wa CCM taifa inagalau kwa sasa?

Mbona unaongea kama vile si Mtanzania wewe?
Acha maneno ya kwenye kahawa wewe,vipi na hao wabunge wenu walipatikana kwa kuongezwa kura ngapi
 
Mimi ni mwana CCM na taarifa za ubadikishaji wa electronic cards ninazo.

Siyo kweli kwamba ni mpango wa kuiba kura.

Hilo la kudaiwa kitambulisho cha mpiga kura liko hivi: ni kwamba, ili upate kadi ya electronic, vigezo ni lazima uwe na kadi ya zamani (iwapo ni mwana ccm). Kigezo kingine, uwe na kadi ya mpiga kura, au leseni ya udereva, ana barua ya mjumbe. Hivi ni vitu vya kawaida. Siyo kweli kwamba unatakiwa uwe na kadi ya mpiga kura ndiyo upewe kadi ya ccm.

Halafu, lengo la kadi hizi n kurahisisha uwekaji was kumbukumbu za wanachama na pia kuepusha wanachama kuwa na kadi nyingi. Mfano, kadi ya ccm, UVCCM, wazazi, UWT. Badala yake, kama ni mwanachama basi jumuia alizopo zitaainishwa kwenye kadi moja.

Pia kadi hizi ni rahisi kutumia, kuhifadhi na kulipia.

Siyo jambo geni, maana hata chadema wamewahi kutamka kwamba watakuwa na kadi za aina hii.

Kwa hiyo tafuteni njia nyingine za kubembeleza kura siyo kila uchaguzi mnalalama tu wizi.

Kama mnaibiwa kura kweli, je, mkipewa nchi mtaiweza?

Aikambee

Unabisha bure rafiki. Mimi kama Invisible Researcher, nilipozinyaka habari hizi, niliamua kwenda kujiandikisha nikawa na kadi ya CCM fake (kwa sbb sijawahi na sitakuja kuwa mwanaCCM) , Driving Licence halisi ninayo, Voter ID ninayo, National ID ninayo na kadi za benki tofauti tofauti....

Hivyo vingine vyote ni ziada. Kinachotafutwa hapo ni Voter's ID!!

Kama kuna anayebisha, tafuta eneo wanaloendelea na zoezi hili uthibitishe haya!!
 
Back
Top Bottom