Makampuni binafsi yangepewa hiyo kazi ingependeza sana, itangazwe tender highest bidder apewe hiyo kazi, akiwa na mashine za kutosha atazalisha vitambulisho vingi kwa siku, hao NIDA wanaonesha wazi wamezidiwa kwani wameshindwa kuendana na kasi ya mahitaji ya vitambulisho, sio sawa miezi sita mtu asubiri kitambulisho.